Maulid jnr
Member
- Mar 25, 2021
- 66
- 60
Habari wakuu nauza fridge kubwa ya hisense imefanya kazi miezi miwili tu bado iko kwenye hali nzuri mnoo. Bei ya fridge ni 850,000.
Pia nauza godoro 80,000 na kigari cha kubebea watoto wadogo 200,000 .
Vyote vipo salasala ukihitaji nicheki kwa namba hii 0783150130 thnx
Pia nauza godoro 80,000 na kigari cha kubebea watoto wadogo 200,000 .
Vyote vipo salasala ukihitaji nicheki kwa namba hii 0783150130 thnx