Pata Chia Seeds kwa bei nzuri

Pata Chia Seeds kwa bei nzuri

Ni wazo zuri kaka but kwa dar hizi chia seeds watu wengi hawajazifahamu hivyo inakuwa ngumu kwa biashara,stoo zetu zipo mkoani,mtu yeyote akihitaji mzigo mkubwa tuna udhamini wa mwanasheria(tuna contact).Anaenda ofisini analipa then tunamtumia mzigo,Au anaweza kuja akafata mzigo wake huku kwenye stoo zetu,but nikizidi kupata wateja stoo nitaziamishia dar
Kama mna kituo Dar kwa nini msiweke hapo kituoni mizigo ya kutosha ili iwe rahisi kwa wateja kuweka uaminifu zaidi mkuu...?
 
Kwanini ujiulize mara mbili kuhusu Afya yako? Kwanini ukate tamaa ya maisha kisa magonjwa? Tunawashukuru wote walioamua kutumia njia sahihi, suluhisho na tiba ya magonjwa kwa kutumia Chia seeds.

Chia seeds ni mbegu zilizothibitika kuwa na virutubisho muhimu sana katika afya zetu,hutibu na kukinga magonjwa mengi kama, hutibu kisukari na kuishusha kabisa,kutibu magonjwa ya moyo na presha, hutibu magonjwa ya mifupa na kuimarisha kabisa, huipa ngozi afya na mwonekano mzuri yaani kutozeeka haraka, huimarisha ubongo hivyo humfanya mtoto shuleni kuwa genius, sababu ya wingi wa protein huongeza nguvu az kiume, hukinga mwili dhidi ya magonjwa nyemelezi, huimarisha cd4 kwa wale wenye Ukimwi, hupunguza unene na vitambi.In short hutibu na kukinga mwili kiujumla dhidi ya magonjwa.

Ni sh 5000 tu kwa kilo. Wahi ofa hii mzigo upo wa kutosha kwa jumla na rejareja, tunapatikana makumbusho bahari motors kwa namba 0755748007. Karibuni sana


Screenshot_2019-10-20-20-28-19.jpeg
 
Sorry sana kaka kwa hali hiyo iliyojitokeza,itakuwa supplier alichanganya mawasiliano,naomba namba yako ili kesho tufanye delivery,au fika kituoni kwetu kesho,tupo makumbusho bahari motors,nitafute kwa namba 0755748007
Mimi niliagiza kilo 2 mpk leo cjapata...nkajitolea mpk hela ya delivery lkn kimya....hampo serious kabiisaa
 
Back
Top Bottom