- Thread starter
- #41
Ndiyo mkuu, zinapatikana
vp hapo ulipo nawweza kupata vannila?
vp hapo ulipo nawweza kupata vannila?
Ndugu nasubiri unambie lini utaniletea ujue....0683002888
Mkuu chia zako tyr,uko wap ili tufanye delivery
Mkuu chia zako tyr,uko wap ili tufanye delivery
Mkuu chia zako tyr,uko wap ili tufanye delivery
Hizo chia unatafuna kama karanga? Au unapika kama maharage?
Zinasaidia sanaKwenye nguvu za kike hazisaidii?
Broo promo yako umezunguka sana we sema hiviWadau,pata chia seeds kwa bei chee,nauza kg moja kwa shilingi 5000,napatikana Karagwe-Kagera,mikoani natuma kuanzia kilo 20,kwa wale wanaohitaji mzigo mkubwa upo wa kutosha,Chia seeds ni mbegu zilizothibitika kuwa na virutubisho vingi ambavyo ni muhimu kwa afya na ni zao linalokua kwa kasi katika biashar,nawakaribisheni nyote wafanyabiashara na watumiaji,namba yangu ni 0755748007.KARIBUNI SANAView attachment 1218439
Nahitaji kilo 6 nipo dsm ikitokea umepata oda kubwa niunganishie hapo
Haha,lakini katika swala la afya hizi chia nazipa 5 stars,nawe karibu nikuuzie utunze afya yako mkuuBroo promo yako umezunguka sana we sema hivi
Zinaongeza kuvu za kiume na kwa wadada zinasaidia kuongeza ukubwa wa makalio
Sasa subiri uone watu wakavyo zigombania hizo mbegu
Nipo Karagwe mkoani Kagera mkuu tunatuma mikoani pia
Mnatuma mzigo kwa mteja ndio akishaupata ndio analipia au mteja analipa kwanza halafu ndio anasubiria mzigo wake...?
Yaani tuna kituo dar kama unahitaji unaweka order,unalipa nusu tunautuma mzigo ndani ya siku moja ukifika unamalizia malipo,kuna watu tumewatumia mzigo wameingia mitini
Yaani tuna kituo dar kama unahitaji unaweka order,unalipa nusu tunautuma mzigo ndani ya siku moja ukifika unamalizia malipo,kuna watu tumewatumia mzigo wameingia mitini