Pata bidhaa ya kukuzia vifaranga

Pata bidhaa ya kukuzia vifaranga

Martin Mhina

Senior Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
169
Reaction score
37
Vyungu Vyungu vya Joto kwa ajili ya kukuzia vifaranga vinapatikana kwa bei ya Tsh 15000/= na bei Jumla kuanzia Vyungu 5 ni Tsh 14000/= ni vizito na imara ,vinatumia mkaa mchache na Chungu kimoja kinahudumia vifaranga 100 tupo Temeke wailes na mikoan tunatuma mawasiliano 0714994833/0755485807 Karibu
 
kweli picha maana mi napata picha ya iko chungu kilivo duuuh si ntapika vifaranga wangu badala ya kukuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom