Pata bata mzinga kwa bei nzuri

AsiliYetu

Member
Joined
Jun 3, 2016
Posts
62
Reaction score
11

ASILI YETU

Nikikundi kinachojiusisha na ufugaji wa ndenge tofauti,tupo Arusha.

Tunapenda kuwataalifu tunauza ndenge haina ya Bata Mzinga wakubwa miezi mitano

JIKE.100,000
DUME.120,000

kwa mawasiliyano
+255 758 811 234
 
Mbali ya bata mzinga mna ndege gani wengine mnaofuga?
 
Tunao
1.Kuku wa kienyeji
Kuchi
Singamangazi
Horasi
Mbegu kutoka Singida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…