Pata 4GB Za Internet Wiki Nzima Kwa 3000/= Tu.

Pata 4GB Za Internet Wiki Nzima Kwa 3000/= Tu.

Pablo

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2017
Posts
2,441
Reaction score
2,547
Kheri Ya Mwaka 18' !!! Mwanzo Wa Mwezi Ndio huu, Nina Airtime Yakutosha Voda Naunganisha 4GB Wiki Nzima Kwa Bei Chee 3000/= Tu. Sasa Wewe Ukiona buku Tatu ni Kubwa na Unahisi Utaibiwa Basi endelea Kutumia Buku Kwa Internet Kila Siku. Njoo Pm Kama Unahitaji. Sipo Kwenye System na Wala Sina Shida na Namba Yako (Business Only) .Changamka Kama Utahitaji
IMG-20180101-WA0001.jpg



Update
==========

Walionipa namba tiali nimewaunga isipokuwa wachache ILa hadi saa 5 ntakuwa nimeshawaunga wote.

Hakikisha una select sim card ya Voda iwe inatumia internet kisha washa data endelea kufurahia.

Malipo yangu utanipa once ukiona umeweza kutumia Internet (tafadhali kuwa muaminifu).

Pia naomba waliowezeshewa waje washuhudie ili tupunguze u- Tomaso.

Yoyote atakae hitaji anakaribishwa ..salio lipo lakutosha. Asanteni

Kuna maswali mengi Watu Wanauliza Ninapata Wapi Access Ya Kununua Bando

In short ni Kwamba Nilikosea Kununua Muda Wa Maongezi.

Now Imebaki 70 elfu. Kwa anaehitaji Aje tu Nimuunge.

Please njoo na namba tuu Usilete Mbwembwe Nyingine.
30d3583ccb35f44070f06c9e576cbe98.jpg

Wakuu Nashukuru Kwa Waaminifu Wachache Kulipia Ninapo kuunga Bando. Imebakia Kidogo Njoo Tumalizie ILa Pay First Maana Wengine Nime Waunga Hawajanilipa Mpaka Dakika Hii Na Ukiwapigia Hawapatikani. Ni bora MTU Usiombe Huduma ILi Uwaachie Wengine.
4b0df37792b77b8ce37e99e6e4883e26.jpg


Appreciation:

.Shombe La Kisomali
.Miss Natafuta
.Somji na Wengine Wengiiiiiiiiii.....
Hawa Ndio Ninao Wakumbuka.
 
Tapeli... Tushawezeshwa na mtu mmoja humu ndani universt ofa tena si intenet tu hadi dakika sms za kutosha majibi ya kutosha huo msaada kawafanyie tigo
 
Kheri Ya Mwaka 18' !!! Mwanzo Wa Mwezi Ndio huu, Nina Airtime Yakutosha Voda Naunganisha 4GB Wiki Nzima Kwa Bei Chee 3000/= Tu. Sasa Wewe Ukiona buku Tatu ni Kubwa na Unahisi Utaibiwa Basi endelea Kutumia Buku Kwa Internet Kila Siku. Njoo Pm Kama Unahitaji. Sipo Kwenye System na Wala Sina Shida na Namba Yako (Business Only) .Changamka Kama UtahitajiView attachment 667120

Umenikumbisha kuna uzi wa kupata vocha ya buku.

Ngoja niende.
 
piga hela kijana.....wazembe hawaaaa
Mkuu hakuna mzembe humu. Ndio maana nikaelezea vizuri tuu kama Utahisi Buku Tatu Yako Itaibiwa Basi Kausha. Tatizo Waswahili Mnakosea Padogo Sana. Sometimes Ni Kheri Kujaribu Kuliko Kukata Tamaa. Elfu Tatu ni Kubwa Lakini Siyo ela Ya kuiwazia Kiasi hicho.
 
Mkuu hakuna mzembe humu. Ndio maana nikaelezea vizuri tuu kama Utahisi Buku Tatu Yako Itaibiwa Basi Kausha. Tatizo Waswahili Mnakosea Padogo Sana. Sometimes Ni Kheri Kujaribu Kuliko Kukata Tamaa. Elfu Tatu ni Kubwa Lakini Siyo ela Ya kuiwazia Kiasi hicho.
umenielewa vizur uzembe niliozungumzia au???
 
Mkuu hakuna mzembe humu. Ndio maana nikaelezea vizuri tuu kama Utahisi Buku Tatu Yako Itaibiwa Basi Kausha. Tatizo Waswahili Mnakosea Padogo Sana. Sometimes Ni Kheri Kujaribu Kuliko Kukata Tamaa. Elfu Tatu ni Kubwa Lakini Siyo ela Ya kuiwazia Kiasi hicho.
Matapeli wote wana lugha hiyo!!! Kujifanya hana shida ila anataka kukusaidia na kama hautaki watasema acha!!!! Jihadharini!!!!!
 
Kheri Ya Mwaka 18' !!! Mwanzo Wa Mwezi Ndio huu, Nina Airtime Yakutosha Voda Naunganisha 4GB Wiki Nzima Kwa Bei Chee 3000/= Tu. Sasa Wewe Ukiona buku Tatu ni Kubwa na Unahisi Utaibiwa Basi endelea Kutumia Buku Kwa Internet Kila Siku. Njoo Pm Kama Unahitaji. Sipo Kwenye System na Wala Sina Shida na Namba Yako (Business Only) .Changamka Kama UtahitajiView attachment 667120
miaka yote napata gb 4 madakika ya kutosha kwa 2500
wacha utapeli
 
Back
Top Bottom