Pasua kichwa

Pasua kichwa

3 point

New Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2
Reaction score
0
PASUA KICHWA unipe jibu

Kuna NDENGE jina lake:-
1. Ukitowa herufi 2 za mwisho unapata jina la TUNDA
2. Na ukitowa herufi 2 za mwanza unapata jina la SAMAKI
3. Pia ukishapata jina hilo la samaki ukiligeuza unapata unapata jina la SILAHA

If you are talent give me the name of bird....???
 
Ndege: KUNGURU
Tunda: Kungu
Samaki: Nguru
Silaha: Rungu

Una swali jingine??
 
Ndege: KUNGURU
Tunda: Kungu
Samaki: Nguru
Silaha: Rungu

Una swali jingine??

Ninalo:
Kwa nini unamkataa mtoto wako yule wa kule Tanga?
Kumbuka umefanana nae mpaka dimpoz.
 
Ndege: KUNGURU
Tunda: Kungu
Samaki: Nguru
Silaha: Rungu

Una swali jingine??

Umekosea.......hakuna kitu kinaitwa ndenge.......labda dengelua.......
 
PASUA KICHWA unipe jibu

Kuna NDENGE jina lake:-
1. Ukitowa herufi 2 za mwisho unapata jina la TUNDA
2. Na ukitowa herufi 2 za mwanza unapata jina la SAMAKI
3. Pia ukishapata jina hilo la samaki ukiligeuza unapata unapata jina la SILAHA

If you are talent give me the name of bird....???

Ndenge........! NO......
 
Ndege: KUNGURU
Tunda: Kungu
Samaki: Nguru
Silaha: Rungu

Una swali jingine??

Mkubwa !
Na unavyojua kuyanyanyasa maswali mboga! Una ubavu nikuletee ya kwangu maswali ugali ?
 
duniani wawili wawili...baba yake alitumia kondomu niliyotoka kuitumia

Ninalo:
Kwa nini unamkataa mtoto wako yule wa kule Tanga?
Kumbuka umefanana nae mpaka dimpoz.
 
Back
Top Bottom