Pastor Mwansasu: Wanasiasa wanawanunua maaskofu kwenye katiba

msani

JF-Expert Member
Jun 13, 2011
1,801
1,191
Mchungaji kiongozi wa Huduma ya HOSSANA LIFE MISSION ameibua tuhuma nzito kwa wanasiasa kuwanunua maaskofu kuhusu mchakato wa katiba. Amesema hayo katika ibada ya Jumapili ya 21 September 2014.
Pia amehoji uhalali wa jaji Warioba alipoitoa serikali tatu na kuongeza kuwa serikali 3 ni mpango wa wanasiasa.
Tamko hilo lilizua minong'ono toka kwa waumini wa Kanisa hilo la Hossana lililopo Riverside Ubungo Dsm.
 
Hii ni kweli kabisa viongozi wa dini wote ------------ tena kwa bei ndogo sana.
 
Huyo Mchungaji hana Akili kabisa huenda amelogwa na ukimpekua mfukoni huenda ukamkuta na Kadi ya CCM, Kondomu au Hirizi. Alikuwa wapi wakati ule wachungaji wenzake waliposema Kikwete ni chaguo la mungu, au waliposema Ilani ya Uchaguzi ya CCM ni bora zaidi wakati inatamka kuwepo mahakama ya Kadhi kwa waislam?
 
Kumbe ndo maana matamko yalikua yanamiminika kama maji.njaa mbaya sana.
wameona hata matamko yamegonga mwamba wamekuwa wapole sana.
 
Back
Top Bottom