Mi nipo Uhindini hapa karibu na Mbeya Peak kwenye jengo la Airtel. Unamjua Lusajo Mwakoba?
Mungu ni mwema atatendaKuna mutu natamani afikwe na changamoto ya upumuaji
Usichague dawaMh wengine Kvant
Unataka kumrithi mke wake kabisaaa!Jirani yangu
Sio apumzike kwa mungu tena ni kwa amani?Apumzike kwa Amani na tutakaomfuatia
Utamfuatilia we kama nani?OK. Ntakufuatilia
SAWAUsichague dawa
π€Sio apumzike kwa mungu tena ni kwa amani?
Kwahiyo kilichomuua ni nini? Na kwanini useme kasi inatisha as if watu huwa hawafi siku zote?
Apate pumziko lenye kheri na mwanga wa milele umwangazie.
Kweli na msema kweli ni mpenzi wa MunguR.I.P kwake mchungaji
Tuendelee kujifukiza
Au naongopa ndugu zangu? Mzaha sio mzaha?
Gharama ya kutunza wahuni na wapumbavu kama wewe ndio kubwa, sio kutunza wazee!!!Tusiogope Watanzania wanaozaliwa ni wengi mno, kufuatia maboresho huduma za afya ,chanjo, elimu bure ,hamasa kuzaliana. Shida ni kupoteza wapambanaji, japo kwa wazee above 80...( Life span 60...yrs) wapumzike kwa amani , kunapunguza garama kuwatunza nk.
Dua la kuku sio? πππKuna mutu natamani afikwe na changamoto ya upumuaji
halafu ww jamaa wewe!Mbafu kabisa ww
Aiseeee nmefungua huu uzi moyo umeshtuka paaaap. This is so bad kwa kweli.
Hyu pastor namfahamu vizuri sana.
So Sad.Mungu amuweke mahali alipojichagulia.Apate pumziko lenye kheri na mwanga wa milele umwangazie.
π€£π€£π€£π€£halafu ww jamaa wewe!
Anyway, Yesu ni Bwana na Mwokozi
Inaonekana alipatwa na tatizo la kupumua lakini alijitibu vizuri tu changamoto ikawa kisukari kinapanda nadhani ili gonga 27.Pole Sana ,Nilipitia facebook yake Just week iliyopita alikuwa fiti ,niliona tar 28 alipost facebook mada then tar 30 akapost kwamba anaumwa after 2-3 days akafariki dunia......Kama ni mtu wako wa karibu ni nini kilimkubwa?