AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,284
- 4,020
huyu tangu alipoitwa kwenye ile kamati ya bunge kujieleza amekywa siyo yule tuliyekuwa tumemzoea amekuwa mtu wa kusifu kila kitu hata kisicho stahili sifa.Ameshakubali kuwa sehemu ya shetani ndo mana hawezi kutia neno lolote juu ya madhambi yanayoendelea, ukabila umeshammeza