Paskal Mayala mbona hudadavui kuhusu chuki hii inavyoenea utawala huu?

Huu ukabila umeota mimi. Juzi Kati kulikuwa na usaili wa wathamini.
Moja ya swali ulikuwa unaulizwa ni wewe kabila gani mara unatoka mkoa gani.
Haya Mambo yanayoendelea sio ya kufumbia macho kabisa.
Taifa hili ni letu sote inapaswa kuishi Bila kujua wew kabila gani na Kanda ipi wa dhehebu gani.
Watu waache ujinga wao.
Siku hizi ukabila na ukanda ni nje nje awamu hii!
 
Mkuu you make it my day,hii ndio JF inayotakiwa welldone mkuu !!umeandika Facts sio siasa na huu ndio uandishi mzuri wa mada,kipengele cha Hakimu kimeniumiza mno hasa why hakimu aliwapeleka jela moja kwa moja wakati ile hukumu ina option ya kulipa faini?why hakuendeleza dhamana yao ili awape muda wa kulipa na kushindwa kwao ndio wapelekwe jela?ona sasa wametumikia adhabu zote mbili kwa pamoja,je huu sio uonezi ?huyu hakimu ni mtanzania wenzetu ana familia yake na bila shaka na watoto,je amesend message gani kwa taifa ,je ni kweli ali apply his mind wakati wa kutoa hii hukumu?tatizo la kila watendaji kuteuliwa kisiasa haya ndio matokeo yake,wenzetu idara kama hizi watarajiwa wanaomba na kufanyiwa usaili,na wanaoshinda hupewa na nafasi na kuapishwa na jaji kwa kutumia katiba (ili walinde katiba sio mpangaji mkuu wa pale magogoni,ambaye baada ya 10yrs anaondoka ,ila katiba itabakia)AGAIN MTOA MADA WELLDONE MKUU.
Mkuu pamoja na hakimu kufanya alivyofanya lakini waliokuwa nyuma ya mpango wote, kwa kujua au kutokujua wameipaisha sana CDM kisiasa. Kwa CDM imekuwa ni "blessing in disguise"
 
Miaka ya nyuma chadema walijenga chuki kubwa sana dhidi ya wanaccm. Ulikuwa ukivaa shati au kanga ya ccm unazimewa.
Kina Lisu waliwaita wanaccm kwa jina la maccm.
Viongozi walizomewa, JK alipigwa mawe akiwa na msafara wake.
Hiyo yote ni chuki iliyoenezwa na viongozi wa chadema dhidi ya watu wa ccm.
Leo hii tulieni mnaponyolewa. Ccm wanatembea kifua mbele na mwenyekiti keshasema ole wako umzomee au umtukane mwanaccm aliyevaa vazi la chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya nyuma chadema walijenga chuki kubwa sana dhidi ya wanaccm. Ulikuwa ukivaa shati au kanga ya ccm unazimewa.
Kina Lisu waliwaita wanaccm kwa jina la maccm.
Viongozi walizomewa, JK alipigwa mawe akiwa na msafara wake.
Hiyo yote ni chuki iliyoenezwa na viongozi wa chadema dhidi ya watu wa ccm.
Leo hii tulieni mnaponyolewa. Ccm wanatembea kifua mbele na mwenyekiti keshasema ole wako umzomee au umtukane mwanaccm aliyevaa vazi la chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uwoongo ww juz tu BASHITE kazomewa mchana kweupe na Tako lake kubwa, kumetokea nn.
Huwezi kukontroo watu wote brazaaa,
Sio bongo tu hata Uarabun wameshndwa hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya nyuma chadema walijenga chuki kubwa sana dhidi ya wanaccm. Ulikuwa ukivaa shati au kanga ya ccm unazimewa.
Kina Lisu waliwaita wanaccm kwa jina la maccm.
Viongozi walizomewa, JK alipigwa mawe akiwa na msafara wake.
Hiyo yote ni chuki iliyoenezwa na viongozi wa chadema dhidi ya watu wa ccm.
Leo hii tulieni mnaponyolewa. Ccm wanatembea kifua mbele na mwenyekiti keshasema ole wako umzomee au umtukane mwanaccm aliyevaa vazi la chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema ndio wabaguzi wakubwa Wana uchaga na ukaskazini angalia hata humu comment zinazo andikwa Ni za kibaguzi tu sijui msukuma mwengine amuuliza mwenzake we kimaro gani mbona uko ccm Ina maana kina kimaro inatakiwa wawe chadema mwisho watakuja na ubaguzi wa kidini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tila-lila2,
Nafikiri hii ilipaswa kuwa, "BARUA YA WAZI KWA PASKALI..." Mada ni nzuri ila imemuhusu mtu mahususi lakini imewekwa hadharani kwa watu wengi, sasa hii kiundishi ingependeza tuiite, barua ya wazi, hata hivyo haijaathiri mantiki ama dhima nzima ya uwasilishwaji.

Licha ya kwamba, Paskali amekuwa muwakilishi mzuri wa mawazo yako na unakiri kuwa na mahaba binafsi ktk hilo, elewa kwamba ni coincidence/bahati tu kwamba kuna wakati mnakuwa na mfanano wa mawazo, hawezi kuwaza sawa na uwazavyo mara zote, saa zote na siku zote.

Yumkini, hiki ulichokiita, "chuki" yeye angekipa jina tofauti na bila shaka hajazungumza sababu hajawaza kama uwazavyo.

Naamini, hakuna anayeweza kuzungumza vizuri kuhusu mawazo yako kama wewe mwenyewe.

Nikushauri tu, badala ya kuhoji kwanini PASKALI hazungumzi pale unapoona anapaswa basi wewe zungumza moja kwa moja.

Kila mtu ana uhuru wa kuzungumza, uhuru huu unakwenda sambaba na kuchagua, nini azungumze na nini asizingumza, kipi aongee ama akae kimya.
 
Tila-lila2,
Nafikiri hii ilipaswa kuwa, "BARUA YA WAZI KWA PASKALI..." Mada ni nzuri ila imemuhusu mtu mahususi lakini imewekwa hadharani kwa watu wengi, sasa hii kiundishi ingependeza tuiite, barua ya wazi, hata hivyo haijaathiri mantiki ama dhima nzima ya uwasilishwaji.

Licha ya kwamba, Paskali amekuwa muwakilishi mzuri wa mawazo yako na unakiri kuwa na mahaba binafsi ktk hilo, elewa kwamba ni coincidence/bahati tu kwamba kuna wakati mnakuwa na mfanano wa mawazo, hawezi kuwaza sawa na uwazavyo mara zote, saa zote na siku zote.

Yumkini, hiki ulichokiita, "chuki" yeye angekipa jina tofauti na bila shaka hajazungumza sababu hajawaza kama uwazavyo.

Naamini, hakuna anayeweza kuzungumza vizuri kuhusu mawazo yako kama wewe mwenyewe.

Nikushauri tu, badala ya kuhoji kwanini PASKALI hazungumzi pale unapoona anapaswa basi wewe zungumza moja kwa moja.

Kila mtu ana uhuru wa kuzungumza, uhuru huu unakwenda sambaba na kuchagua, nini azungumze na nini asizingumza, kipi aongee ama akae kimya.
Kaka una akili sana - hata hivyo pamoja na kunielewa sana nakusawazisha kdg tu. Mie si kwamba nilikusudia kwamba ni lazima Kaka Paskali anijibu - nilikusudia akina Paskali wawe wengi km ambavyo umekuwa Paskali pia. Huo ni mtindo tu wa uandishi niliouazima ili kufikisha ujumbe. Kwa kuwa Paskali amekuwa rafiki yangu kwa mada zake basi nilijaribu kuchokoza wanaJF wote humu kwa kumfanya Paskali kama chanzo cha mjadala. Kwanza sina uhakika kama kweli Paskali hajawahi kuandika kuhusu hayo niliyoyasema. Asante sana kwa mchango wako mzuri sana!
 
Miaka ya nyuma chadema walijenga chuki kubwa sana dhidi ya wanaccm. Ulikuwa ukivaa shati au kanga ya ccm unazimewa.
Kina Lisu waliwaita wanaccm kwa jina la maccm.
Viongozi walizomewa, JK alipigwa mawe akiwa na msafara wake.
Hiyo yote ni chuki iliyoenezwa na viongozi wa chadema dhidi ya watu wa ccm.
Leo hii tulieni mnaponyolewa. Ccm wanatembea kifua mbele na mwenyekiti keshasema ole wako umzomee au umtukane mwanaccm aliyevaa vazi la chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga na nusu! Badala ya kupinga yaliyotokea huko nyuma na kutuasa tusiyarudie wewe unayaendeleza na kulipa kisasi! Jifunze kutatua migogoro na kutuliza munkari za raia badala ya kumwagia petrol Moto unaowaka kwa kisingizio Cha Fulani kupigwa mawe! Mshikamano wetu ni Bora kuliko ccm!
 
Chadema ndio wabaguzi wakubwa Wana uchaga na ukaskazini angalia hata humu comment zinazo andikwa Ni za kibaguzi tu sijui msukuma mwengine amuuliza mwenzake we kimaro gani mbona uko ccm Ina maana kina kimaro inatakiwa wawe chadema mwisho watakuja na ubaguzi wa kidini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mwamba ngoma ngozi huivutia kwake! Ccm imejaza viongozi wa juu kutoka Kanda pendwa! Hilo kwako ni pambio! Angalia wizara nyeti na nyinginezo, mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa vyombo vya dola na hata wakuu wa mikoa na wilaya, madas na Maras majority ni kutoka Kanda pendwa! Ona chato ilivyobadilika ndani ya miaka minne na kugeuka jiji lenye idadi ndogo zaidi ya watu duniani! Huo kwako sio ukabila Bali ni uzalendo! Ati ni wakati wenu kwani mlisahaulika mno! Seriously?
 
[QUOTE="Tila-lila2, post: 34715035, member: 571876"
nilikusudia akina Paskali wawe wengi km ambavyo umekuwa Paskali pia.
[/QUOTE]
Mkuu asante sana.
 
MWALIMU nyerere alitumia gharama kubwa
Paskali fahamu kuwa hata kabla sijaamua kujiunga rasmi JF nimekuwa nikisoma sana nyuzi zako. Mara nyingi umekuwa ukianzisha nyuzi ambazo na mimi nakuwa nimezifikiri na hivyo unakuwa umeniwasilishia kwa hakika. Lakini sio zile nyuzi ambazo sometimes zinafanya usieleweke.

Leo Paskali naona nikukumbushe tu kwa uzi wenye mtindo wa swali kwa sababu najua wewe ni "msoma trend" wa mambo ambayo huyaandika. Vipi tukiangalia suala la chuki katika nchi yetu - trend yake inaendaje? Paskali hujaandika kuhusu hili! Kwa nini? Unaogopa ama?

Anyway - Nakuuliza Paskali vipi mwelekeo wa jamii yetu kushikana na kuwa wamoja na kuipinga chuki dhidi yetu trend yake ikoje tangu uongozi huu uingie?

Paskali unaonaje matendo ya kwa mfano kupotea kwa wananchi na Serikali kuwa kimya kimya kimya kimya kimya sana - hayakuzi chuki katika nchi yetu?

Paskali matukio kutopepelezwa ya watu kupigwa risasi na mengine kutangazwa kufanyiwa upelelezi fasta ya watu kuhisiwa kupewa sumu - hayaleti chuki ya kuonesha upendeleo dhidi yetu?

Paskali vipi utaratibu kwa mfano wa kuijali jamii yetu mfano kuongeza mishahara kwa wafanyakazi - hii haijaleta chuki dhidi ya jamii yetu?

Paskali - vipi uendeshwaji wa siasa zetu ulivyo - Uchaguzi wa Serikali za mitaa ulivyofanyika mwaka jana na kupiga pin shughuli za kisiasa za wazi kwa upinzani tu wakati wa chama tawala wakijimwambafai - hii haijaleta chuki dhidi yetu?

Paskali - kubwa kuliko unaonaje kitendo cha Chama Tawala kwenda kumtoa yule Mwanachama wao aliyecross kutoka Chadema kwa kumlipia faini na kisha Polepole kuongea kwa Kiingereza kuitangazia dunia kuwa nao mwanachama wao alikuwa kafungwa - hii haijaleta chuki katika nchi yetu?

Paskali - unaonaje pia undugunaizesheni uliiooneshwa na Rais kwa Mheshimiwa Msigwa wakati akijua yeye Rais ni baba wa WaTanzania wote, haashirii kuwa wengine wakome wenyewe huko jela ila Ndugu yake Msigwa atoke - hii haijaleta chuki katika jamii yetu?

Paskali - ukiwa kama Mwanasheria unaonaje pia kuwa Hakimu angeweza tu kutamka kuwa kama wahukumiwa katika adhabu waliyopewa wanaamua kulipa faini awape muda wa kulipa faini na wakishindwa ndiyo wakamatwe kwenda jela na yeye akaamua waende kwanza jela na kisha walipe faini wakiwa huko huko jela ni kama wametumikia adhabu zote hizo kwa pamoja - yaani wameenda jela siku kadhaa halafu na wamelipa faini yote - hili halizidishi chuki katika jamii yetu?

Ndugu yangu Paskali ni mengi yanafanyika ambayo yanaashiria kukuza chuki badala ya kuleta amani na upendo katika nchi yetu. Hata kama kuna mipango mizuri ya kukuza uchumi wetu inatekelezwa lakini jamii inayojaa chuki ndani ya mioyo yao ni hatari sana huko mbeleni.

Kwangu mimi wewe ni kama unaongoza kujadili hoja rahisi na za maana katika Jukwaa hili lakini naona katika kuangalia mambo ya amani na upendo katika nchi yetu kwa kiasi kikubwa unakwepa kujadili.

Kazi njema Kaka Paskali!

Tila Lila2
MWALIMU alitumia gharama kubwa sana kujenga utaifa na umoja wetu, awamu hii inatumia gharama kubwa kuubomoa.
 
Back
Top Bottom