passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 5,888
- 11,370
Haya mambo yanatokea Gaza na Israel ni matokeo ya kujengwa kwa chuki. Watu wasipopewa haki zao watajenga chuki dhidi ya wanaozuia hiyo haki. Kwa mfano kwenye nchi hii kuna mambo mengi yanaendelea yanayoweza kujenga chuki.
Mfano kuna umasikini mkubwa, hali mbaya ya uchumi , huduma za kijamii bado ni mbovu,utoaji wa haki kuwa mmbovu Nk huku watu tukishuhudia ufisadi mkubwa wa mali za umma. Yaani CCM(chama tawala) itende haki kwa watanzania au siku moja watu watachoka na kutafuta haki kwa nguvu.
Mfano kuna umasikini mkubwa, hali mbaya ya uchumi , huduma za kijamii bado ni mbovu,utoaji wa haki kuwa mmbovu Nk huku watu tukishuhudia ufisadi mkubwa wa mali za umma. Yaani CCM(chama tawala) itende haki kwa watanzania au siku moja watu watachoka na kutafuta haki kwa nguvu.