Pasi ya kijerumani

Pasi ya kijerumani

Kawaida ya hvyo vitu huwezi piga picha na hata ukipiga huwez ona kitu kwenye camera au simu utaona giza tu, sasa mtu akikuletea picha juwa ni muongo anatowa google
]

[c kwamba utaona giza,bali huwa transparent unapoiview kwa kutumia kIfaa chochote kile,hta kama ni kioo]
 
Kwa wale wanaopenda vitu vya kizamani hapa ndo penyewe. Kuna pasi ya kizamani ya kijerumani inatumia mionzi ya jua
Utapeli mtupu, be aware. Technology ya mionzi ya jua haikuwepo enzi hizi.
 
Kuna sehemu ipo nimeiona iko nabembeleza niweze kuondoka nayo ni nzito nzito kama kilo 5 hv imefunikwa pande zote
 
Hiyo pasi itakuwa imepigwa na Ozil sasa sijui itamkuta nani huko mbele
 
Back
Top Bottom