DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Paschal Mayala ameipongeza Serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuweka usawa kwa vyama vyote vinashiriki Uchaguzi Mkuu 2025.
Pia soma GE2025 - Paschal Mayala: CCM Itakuwa inapambana na kivuli chake kama CHADEMA Haitashiriki uchaguzi