GE2025 Paschal Mayala: Pongezi kwa Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi kwa kuweka Usawa

GE2025 Paschal Mayala: Pongezi kwa Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi kwa kuweka Usawa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Paschal Mayala ameipongeza Serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi kwa kuweka usawa kwa vyama vyote vinashiriki Uchaguzi Mkuu 2025.
Pia soma GE2025 - Paschal Mayala: CCM Itakuwa inapambana na kivuli chake kama CHADEMA Haitashiriki uchaguzi

paschal Mayalla sometimes ni bora sometimes kukaa kimya au kusema no comment. Kwa huu upuuzi uliofanyika hata kama watafanya nini sasa haiwafanyi wawe wasafi.
 
Amsikilize jaji mstaafu Vincent Makaranga.
Asking for a friend. Hivi wanasheria wa zamani mfano wale majaji enzi za mwalimu na Mwinyi walisomea wapi na rais alitumia vigezo gani kuwateua? Enzi zile ukisikia mtu ni jaji aisee kaa mbali. Walikua ni zaidi ya maaskofu kwa weledi.
Sasa hivi unaweza kumkuta jaji anacheza pool table bila wasiwasi.
 
Hizi pongezi zingeonekana za maana kama CHADEMA ingeshiriki na hakuna mwanasiasa aliyepo korokoroni, halafu tume itende usawa huo. Nchi ipo kwenye mtanzuko wa kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu na kuna chama kikuu cha upinzani hakishiriki kwenye uchaguzi halafu pascal anapongeza! mbona hii haijakaa vema kwa mtu kama pascal kupongeza? labda chawa wangepongeza ingeeleweka vema. Halafu vyama vinavyoshiriki havina upinzani, vinasindikiza tu, wananchi hawavielewi!
 
Mkuu samahani sana kwani katika maisha yako ya Utumishi hukua na kiinuq mgongo? Heshima unaweza kuojenga mufa mrefu lakini ikaja kupotea kwa sekunde kauli tu
 
Pascal sijui ana laana gani?
Marais wote wamemtupa pamoja na kujipendekeza sanaa….

Pengine Laana ya babake kuuwa watu akiwa RPC ndo inamtafuna yeye….

Amekosa hata kua DC?

Madhara ya kua mnafski, kung’ata na kupuliza
 
Hili nalo linaishi kwa fumbo la imani ya kupewa madaraka....pumbavu kazania mazoezi utetee afya yako...ushauri tu...achana na fumba la imani kwenye siasa
 
Back
Top Bottom