Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Leo nikifuatilia mdahalo wa mchakato wa katiba uliorushwa na star tv, nilimsikia Paschal Mayala akisema baada ya kupewa kipaza sauti... "Kwanza naomba ku declare interest" halafu akaendelea "mimi si mwanachama wa chama chochote..." Swali langu ni je, alikuwa sahihi? kama hakuwa mwanachama wa chama chochote, alikuwa na haja ya ku declare hiyo interest?