Pascal ni mchumia tumbo, tumpuuze

Sasa unajiita jasiri huku umejificha kwa ID fake.? Kama si ukunguru ni nini?

Mleta mada kama yeye ni kidume aje na jina lake halisi kama Pasco alivyofanya kisha ndio wapambane.

Siyo unajificha uvunguni na katecno kako alafu unakuja humu na kijina chako bandia alafu eti hooo tutachinja, mara hiivi, mara corona njoo. Pumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemaliza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikujua kama pascal ana wapambe , anakulipa bei gani mkuu ?
 
"Kwa wale ambao kusifia magufuli kwao ni kero naomba wapite mbali na uzi huu......mimi ni msukuma halisi na Magufuli ni msukuma kabisa...."Paskal Nxala..
Nakumbuka kuna wasukuma wakati nasoma advance wao walikuwa wanakaa peke yaobtunaita kwenye chamber basi huko ni kupiga kisukuma mwanzo mwisho hadi kero.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumekwisha pita mbali mkuu .
 

Sikiliza. Nimeanza kutumia mitandao ya kijamii zamani, naweza kusema toka inaanza na nina uzoefu wa kutosha na jinsi watu wanavyoitumia. Sijawahi kusikia watu wanaongelea mambo ya ‘fake id’ popote pale hadi miaka hii ya Magufuli.

Kutumia jina la NIDA au hiyo mnaita ‘fake id’ hakumfanyi mtu au comments zake kuwa bora au dhaifu.

Mnajiaibisha. Kwa ushauri tu acheni kuhoji vitu kama hivyo. Uko huru kutofuata ushauri wangu.
 
Pascal Mayala, Tamaa ya tumbo haitakiwi kuizidi akili yako utakuwa mtumwa siku za mbeleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…