Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,104
- 128,726
Mkuu Babati, everyone has his /her own right on his/her opinions. Ushauri ni mtazamo tuu wa mtu na sio lazima ukubaliane nae. Huo ndio mtazamo wangu na mpaka hapa tulipo, niko right na watu wananyooka.Ushauri line ya mwisho sikubalianinao hata kidogo hapo ulichemka sana.
Paskali