Hakuna sikukuu ya kikristo yenye ushaidi wa kimaandikoo....na kama ipo fungukeni kwa vifungu vya biblia.....sio polojo za mapokeo.
Umesema kweli maana sikukuu zote za kidini(si kwa wakristo tu), ni muendelezo wa sikukuu za BABELI ya kipagani. Kumbuka pia, mafundisho ya dini yako, chanzo chake ni kule kwa kiongozi maarufu kuliko viongozi wote wa dini duniani.