ALPHAYO13
Member
- Oct 25, 2013
- 15
- 3
Wakuu, mimi ni mwalimu wa somo la Uchumi. Tayari nina ajira yangu hapa Dar es salaam. Kama kuna mwanafunzi anahitaji mwalimu wa ziada (tuition) kwa ajili ya somo hili, au kama kuna Taasisi inahitaji mwalimu wa part time kwa somo hili, naomba mni PM au mawasiliano namba 0712 682 475. Asanteni kwa ushirikiano wenu!