Nimependa pozi la mshikaji, inaonesha alijiandaa wiki kwa shughuli hiyo tu
huyu kijana kwa kumwangalia harakaharaka yuko semister ya kwanza mwaka wa kwanza chuo kikuu!
Hayo mazingira ni kule dodoma!
Huyo binti ni housigeli na alikuwa ametumwa dukani kununua sukari!
Naona Bendera ya Wareno inashushwa nusu mlingoti watu waanze kuombeleza.
Hapo inatakiwa useme wanawake nao bhanaaaaaa...