Part II: Wanaume sisi bhanaaaa....

Part II: Wanaume sisi bhanaaaa....

79978.jpg

hizo ndo zake dingi mmoja Buguruni mída ya night amechonga hadi stuli kwa ajili ya yale madirisha korofi ambayo yako juu zaidi.
 
pale mama anapokula za uso hehehehe!! care muhmuhttps://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/smile-big.gif
 
huyu kijana kwa kumwangalia harakaharaka yuko semister ya kwanza mwaka wa kwanza chuo kikuu!
Hayo mazingira ni kule dodoma!
Huyo binti ni housigeli na alikuwa ametumwa dukani kununua sukari!

umejuaje?
 
Mungu atuhurumie ila akina dada watusaidie ili wanaume tuwe strong. Wanaowafanya wanaume kuwa dhaifu ni akina dada na wanafanya hivyo kwa kujua wanaume wakiwa strong a.k.a wagumu hawataweza kuchumbia au kuwa na friends.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom