Parking za Kibo Complex (Tegeta) kuna vinara wa wizi

Parking za Kibo Complex (Tegeta) kuna vinara wa wizi

CHUKUA mtu akuendeshe nenda tena pale wewe kaa seat ya nyuma akifika pale parking aingie ndan alafu aagize chakula kama boya fulan watakuja kuiba maana huwa wanaweka mtu wa kumuangalia mwenye gari ndan anafanya nn? Then usisahau Bastola piga ya mguu mmoja ukakatwe huko mother fucker
 
Eneo likishaitwa jina la kichaga kama kibo unategemea nini

USSR
Ruvuma Bar Bunju A ilikuwa na makahaba wengi sana enzi hizo. Inawezekana jina la sehemu lina uhusiano na kabila husika!!!!
 
we hujui mtu akishinda kesi huwa analipwa fidia?
Akishindwa pia nae analipa fidia kumbuka hilo. Na kesi ilivyo huyu hana shahidi aliyemuona kaacha laptop kwenye gari, ataliwa kichwa mapema
 
Huyoo mmiliki nahc amevimbiwa hela,mie hapo sijawah waza kukanyaga sababu nikishasikia mambo kama haya basiii,ni sawaa na nikienda dukan au saloon nikihudumiwa vizur sihami ilaaa nikiona miyetusho nasepa

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Hapo kibo ni miaka yote Kuna wizi kwenye magari sio Jana Wala Leo nadhani toka wamefungua Hilo jengo miaka hiyo hapajawahi kuacha kuwa na wizi.

It seems Kuna syndicate inayohusika ikishirikiana na walinzi wa hapo sababu watu no wengi mno ambao wamepata majanga Kama yako toka miaka hiyo palivyofunguliwa .

Sijawahi kupaki gari na wala kutamani kuingia hapo sababu ya huo wizi.
Wanapoteza wateja kwa style hyo...wamamiliki wajitathmini upya maana kma malalamiko Ni ya miaka mingi kwa Nini hawashughulikii inamaanisha wanahusika, haiwezekan wawe don't care hivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom