The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,396
- 103,819
Pole sana Mkuu.
dah we acha tu, kiongozi hapa nimeshapata homa bila kuitarajia,Pole sana Mkuu.
itakua wanafunguo bandia...au hizi funguo za garia aina ya premio zinaingiliana???Waavunja ? Kama hawavunji inakuaje au wanatumia uchawi
naamini usemi huu, ila tatizo kwann wahusika wa cctv hawataki kutoa ushirikiano???Wezi ni hao walinzi...
Hiyo ni sehemu ya starehe usiku Kama mchana umeambiwa park at your own risk! ukikaidi watu wanafanya yao alafu wanaenda kukesha kb au what's up, club 71 na watoto wazuri.Habarini wapendwa
Naandika hivi sio kwa kuchafua brand ya mtu ila wahusika wa parking za hapo kibo complex kuna jambo linajificha.
Nimeibiwa laptop na nyaraka kibao kwenye begi zikiwa ndani ya gari ambayo niliegesha pale, na kuingia kupata chakula.
Lakini nimeomba ushirikiano kutoka katika uongozi, tuangalie camera ili kupata ufumbuzi wa kupata vitu vyangu ila majibu yanakuja kuwa camera za kibo complex ni kwajili ya kuangalia mali za kibo complex sio mali za mteja.
Polisi wanasema kuwa pale kumeshakua na kesi nyingi za wizi na mhusika wa camera pale kibo complex hajawahi kutoa ushirikiano wowote.
Nimeshindwa kuelewa kuwa police wanamuogopa mhusika au kuna kitu kinajificha nyuma ya pazia???
NB. Gari haijavunjwa hata kioo, vitu vimeibwa na walinzi wanajibu jeuri.
Nimechanganyikiwa, sijui cha kufanya
asanteni
Tena hao wezi watakuwa wanatokea tegeta kwa ndevu kule ndo uswaziHao ni wezi professional wamebenjua mlango wakachukua yao
nimejifunza mkuu, nimekuelewaPole sana. Ila ulinzi na umakini uanze na wewe mwenyewe unayejua thamani ya mali unazoacha ndani ya gari.
Valuables hata siku moja usiache ndani ya gari, haijalishi walinzi wapo au la. Waachie gari walinde lakini sio vilivyomo ndani ya gari maana hata hivyo hawahusiki na vilivyomo ndani ya gari maana hujawakabidhi vilivyomo ndani umekabidhi gari. Ni muhimu kujua tofauti ya hiki kitu.
Laptop, phones, cash money, bank cards, IDs never leave on the car. Beba ndio maana laptop ina potable bag. Usione uvivu, beba nenda nayo restaurant au popote, your laptop must be with you. Hata iwe parking ya kanisani au msikitini, never trust a human being.
Mkuu Mtaalam yuko mkoa gani na gharama zake zikoje
Sahihi kabisa. Ukileta ubishoo hasa unapoingia mall utalia. Mtu anaenda mlimani City anaingia Sinema anaacha gari parking lot ndani kuna valuables kv Apple Mac Pro, wallet etc akilizwa atulie.Pole sana. Ila ulinzi na umakini uanze na wewe mwenyewe unayejua thamani ya mali unazoacha ndani ya gari.
Valuables hata siku moja usiache ndani ya gari, haijalishi walinzi wapo au la. Waachie gari walinde lakini sio vilivyomo ndani ya gari maana hata hivyo hawahusiki na vilivyomo ndani ya gari maana hujawakabidhi vilivyomo ndani umekabidhi gari. Ni muhimu kujua tofauti ya hiki kitu.
Laptop, phones, cash money, bank cards, IDs never leave on the car. Beba ndio maana laptop ina potable bag. Usione uvivu, beba nenda nayo restaurant au popote, your laptop must be with you. Hata iwe parking ya kanisani au msikitini, never trust a human being.
Pole sana mkuu, ila ndio tujue wafanyabiashara wengi hawajali wateja wao..na sijui sisi watanzania kwanini hatujui kugomea huduma, tujifunze nchi zilizoendelea..biashara yeyote ikipatikana na kashfa..wateja wanaisusia..na huo ndio unakua mwisho wake. Mi naanza leo..sitatumia hiyo parking wala biashara za hapo period. Kama unaunga mkono hoja piga like😀😀Habarini wapendwa
Naandika hivi sio kwa kuchafua brand ya mtu ila wahusika wa parking za hapo kibo complex kuna jambo linajificha.
Nimeibiwa laptop na nyaraka kibao kwenye begi zikiwa ndani ya gari ambayo niliegesha pale, na kuingia kupata chakula.
Lakini nimeomba ushirikiano kutoka katika uongozi, tuangalie camera ili kupata ufumbuzi wa kupata vitu vyangu ila majibu yanakuja kuwa camera za kibo complex ni kwajili ya kuangalia mali za kibo complex sio mali za mteja.
Polisi wanasema kuwa pale kumeshakua na kesi nyingi za wizi na mhusika wa camera pale kibo complex hajawahi kutoa ushirikiano wowote.
Nimeshindwa kuelewa kuwa police wanamuogopa mhusika au kuna kitu kinajificha nyuma ya pazia???
NB. Gari haijavunjwa hata kioo, vitu vimeibwa na walinzi wanajibu jeuri.
Nimechanganyikiwa, sijui cha kufanya
asanteni
Parking at your own risk haiondoi liabililty ya mmiliki wa premises hayo ni maneno tu kisheria huyo mwenye eneo anawajibika kwa kitu kinaitwa occupiers liability mzee kuijua sheria ni raha sana...hapo kesi mahakamani mwenye eneo anakulipa vizuri sema muda mwingi utapotea mahakamaniHiyo ni sehemu ya starehe usiku Kama mchana umeambiwa park at your own risk! ukikaidi watu wanafanya yao alafu wanaenda kukesha kb au what's up, club 71 na watoto wazuri.
Mchaga puuuuuuuuuureMsaki ni MUHA wa Ujiji yule?