teetotaller
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 317
- 214
Habarini wapendwa
Naandika hivi sio kwa kuchafua brand ya mtu ila wahusika wa parking za hapo kibo complex kuna jambo linajificha.
Nimeibiwa laptop na nyaraka kibao kwenye begi zikiwa ndani ya gari ambayo niliegesha pale, na kuingia kupata chakula.
Lakini nimeomba ushirikiano kutoka katika uongozi, tuangalie camera ili kupata ufumbuzi wa kupata vitu vyangu ila majibu yanakuja kuwa camera za kibo complex ni kwajili ya kuangalia mali za kibo complex sio mali za mteja.
Polisi wanasema kuwa pale kumeshakua na kesi nyingi za wizi na mhusika wa camera pale kibo complex hajawahi kutoa ushirikiano wowote.
Nimeshindwa kuelewa kuwa police wanamuogopa mhusika au kuna kitu kinajificha nyuma ya pazia???
NB. Gari haijavunjwa hata kioo, vitu vimeibwa na walinzi wanajibu jeuri.
Nimechanganyikiwa, sijui cha kufanya
asanteni
Naandika hivi sio kwa kuchafua brand ya mtu ila wahusika wa parking za hapo kibo complex kuna jambo linajificha.
Nimeibiwa laptop na nyaraka kibao kwenye begi zikiwa ndani ya gari ambayo niliegesha pale, na kuingia kupata chakula.
Lakini nimeomba ushirikiano kutoka katika uongozi, tuangalie camera ili kupata ufumbuzi wa kupata vitu vyangu ila majibu yanakuja kuwa camera za kibo complex ni kwajili ya kuangalia mali za kibo complex sio mali za mteja.
Polisi wanasema kuwa pale kumeshakua na kesi nyingi za wizi na mhusika wa camera pale kibo complex hajawahi kutoa ushirikiano wowote.
Nimeshindwa kuelewa kuwa police wanamuogopa mhusika au kuna kitu kinajificha nyuma ya pazia???
NB. Gari haijavunjwa hata kioo, vitu vimeibwa na walinzi wanajibu jeuri.
Nimechanganyikiwa, sijui cha kufanya
asanteni