Papai langu linaumwa

Papai langu linaumwa

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,027
Reaction score
52,500
wakuu niliotesha papai langu Mungu mkubwa limeota vizuri na limetoa matunda ya kutosha .sasa hivi sijui limepata majanga gani matunda yote yapo kama yamemwagiwa unga unga hiv,
naombeni ushauri. nilitibu vipi?
 
Hao ni wadudu jamii ya vipepeo wamevamia, kama kwako una maua mengi ndo umewahamishia hapo sasa.
 
wakuu niliotesha papai langu Mungu mkubwa limeota vizuri na limetoa matunda ya kutosha .sasa hivi sijui limepata majanga gani matunda yote yapo kama yamemwagiwa unga unga hiv,
naombeni ushauri. nilitibu vipi?
Ukiyasogelea karibu utagundua kuna vijidudu vidogo vyeupe hivi, sasa wewe puliza Rungu ya mbu hapo
 
wadudu tu wa kawaida hawana madhara katika hayo matunda
 
Unatufikirisha sana ni tits ama tak ama pubic air kuwa specific ili tuweze kuchangia
 
Back
Top Bottom