Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Wapi kizaizai supa toleee
Ndama mutoto ya n'gombe (in Christian Bella voice)😌😎
Ndama mutoto ya n'gombe (in Christian Bella voice)😌😎
Mpwa kna siku nlimkuta pale 777 alikuwa syo yule msofe alikuwa mnyonge fulani nakutana naye tena kwenye msiba wa A. Kilinda mbwembwe zake zile skuzionaMPWAAA ALICHOKAA MBAYA AKASHAURIWA AKAPUMZIKE KWA MDA NJE NAHISI AMERUDI NA NGUVU MPYA WKAMCHOMA
Katika maabara kuu ya taifa, hata hivyo mkemia mkuu kasema yupo busy hawezi kuwasikiliza ana practicals muhimuPapa Msofe na wenzake kortini wakidaiwa utakatishaji fedha
Mfanyabiashara, Marijan Msofe, maarufu kama ‘Papa Msofe’ na wenzake wanne, wamefikishwa katika
Mpwa unaikumbka salamander huyu jamaa alianzia pale.... Enzi zile za pp nandika banduaMzee wa majengoo mji
Basi alipe tu yaisheAkikubali kulipa ataachiwa, ingekuwa ni chadema hapo ingekula kwake
KatuNzii kachomokea mbeya mwezi mmoja nyuma,hana hamu.Mpwa unaikumbka salamander huyu jamaa alianzia pale.... Enzi zile za pp nandika bandua
Ulikuwa lazima umkute pale
Mwnzke ktnzi katulia sijui Vp naye
Ova
Duh..... Kavuka boda auKatuNzii kachomokea mbeya mwezi mmoja nyuma,hana hamu.
Zile W6 zinamisingi yake, ili habari isilete makona kona ndio mana unatakiwa ku clear ambiguity za aina yeyote katika habari.Jina la Joseph Haule lina utata? Kuna Joseph Haule wengi na kama angekusudiwa huyo unayemfikiria wewe basi ndiyo kungekuwa na ulazima wa kuongezea ni fulani. Otherwise ametaja vizuri na hakutakiwa aongeze chochote.
Hahaaaa chadema watasema anaonewaChadema njooni tupinge muuza madawa mwenzetu anaonewa.
WALIKUWA NA NYOTA YA MAMAJUSI WAKITAKA MZIGO BILA UOGA WANAMTUMA MTU KAMWITE YULE DOOOH...PALE REGENCY MPWA NIMEENDA MAJUZI NAPITA NKAOGOPA HATA KUINGIA NDAN DAH MAISHA MAPITO MPWAA
Ni yule wa tabata? Au? Yule jamaa mweusi?Kila dili chafu lazima wanasheria wanahusishwa
Wazee wa kutengeneza dokomaaaa
Huyu mwesigwa syo wa maxim advct Kweli....
Ngoja niishie hapa
Ova
HATA BAR SIJUI KAMA ANAKAA KATUNZI OOH KUSOMA NYAKATI MPWA NAWAKUMBUKA UKIWAONA UNAWAZA UNAFIKA SALAMA AMA MZIGO WAKO UTAPONA KWELII DAH
Ni yule wa tabata? Au? Yule jamaa mweusi?
Yule wa coppa cabana food court pale tabata liwiti?Duh Ngj nimvute picha
Ova
Yule wa coppa cabana food court pale tabata liwiti?
Huyo muhingo rweyemamu ana udugu na yule aliekua msigwa wa JK au kuna kadoti nmeungaKila dili chafu lazima wanasheria wanahusishwa
Wazee wa kutengeneza dokomaaaa
Huyu mwesigwa syo wa maxim advct Kweli....
Ngoja niishie hapa
Ova