UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,693
- 12,320
Hivi ni Makongoro au Madaraka Joseph Nyerere??Haijulikani Makongoro huyu ndo yule mgombea Urais au?
Hivi ni Makongoro au Madaraka Joseph Nyerere??Haijulikani Makongoro huyu ndo yule mgombea Urais au?
Watu wabaya sana. Hivi Masawe si inasemekana alikuwa anatafutwa, alishapatikana?Hyo mia tatu(300) analamba mjane na hao ngamia wanailipa mahakama 36m kama ada ya kuendesha kesi yaani ingekuwa amri yangu hao jamaa wamekatisha uhai wa wengi kwa utajiri wao wa kihanatha ningewachinja kama kuku
Haijulikani Makongoro huyu ndo yule mgombea Urais au?
Alikuwa anatafuta ndoa?Hivi huyo mwanamke hakuolewa tena hadi sasa?
Hawatamdhuru maana jamii nzima inajua kila kitu . Ingekuwa kumdhuru wangemdhuru wakat kesi inaendelea na wakati nchi inaendeshwa na dhaifu.At least.... Ila Mungu amlinde tu huyo Mama,maana hao ni watu hatari kudeal nayo,ngekuwa mie ngeshawaachia tu Mungu mgawaji wa vyote angenijalia nyingine tu.
Wasiwasi wangu ni hao jamaa wana mpango gani na huyo baada ya kushinda kesi na wao kumlipa 300M?!
Sidhani kama watamuacha,na ikitokea wakamfanyia lolote hata wakishtakiwa tayari huyo mama kashadhurika haitakuwa na faida maana uhai huwa haurudi mara mbili.
Ushauri wangu kwa wajane na yatima hata utapeli wa mirathi ukitokea ni kumuomba Mungu ndo apigane upande wake/kiroho kuliko kushindana kimwili.
Alex Carlos ni wa kunyonga kabisa. Kwa udhulmanti ni kiboko! Kibosho handsome wa mjini.Wamewezekana?? Nadhan bado, watu wengi waliunizwa sana na Msoffe na Massawe. Waliishi juu ya sheria muda mrefu. Kwa sasa Alex anakula maisha arabuni.
Serikali bado inamogopa naona maana huyu ni mfadhili wao mkubwa kwenye mambo ya siasa.Watu wabaya sana. Hivi Masawe si inasemekana alikuwa anatafutwa, alishapatikana?
siyo mjane kuna kila viashiria kuwa wao ndiyo waluomuua mmeo wa huyo dada...
Kwani wewe unajuaje?Alikuwa anatafuta ndoa?
Sijui kwa kweli nimeuliza tuKwani wewe unajuaje?
Kwani na wewe hukuona kwamba niliuliza?Sijui kwa kweli nimeuliza tu