Papa Francis kuongoza ibada ya Wakatoliki Misri

Papa Francis kuongoza ibada ya Wakatoliki Misri

Umenikumbusha mbali, tuliwahi kuilost hivo tukaweka mchuzi wa kutosha, na ugali, tukamwita sheikh mmoja kula, alisifia kweli wakati wa kula tulivyokaribia kumaliza ugali tukamwambia Kama ni mkuu wa meza, duuu!! Alikuwa anajitemesha mate huku anaendelea kula, hadi na ile rojorojo ya mchuzi alikunywa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mlitisha sana
 
Egypt nchi ya Kiislamu..
Makafiri wanafanya nini pale...
Wanatia najisi tu nchi za watu...
Mimi ningelikua Presida wa Egypt ningepiga marufuku hakuna cha Papa wala Nyangumi kuingia.
Uislamu unaruhusu kuwepo kwa wasio Waislamu,na jambo hilo ni mashuhuri hata wakati wa Mtume Muhammad SAW, pale Madinah walikuwepo Wayahudi na Wakristo wakiwa chini ya himaya ya Uislamu. Huo ndio Uislamu unaozingatia kuwepo kwa watu na uhuru wao wa kuabudu wanachokiamini wao wenyewe.
 
Nyie ambao sio makafiri, kwanini mnapenda sana kula hii nyama?
1794655_539120556202083_874681793_n.jpg
Kwa nini unafanya kosa la kunichochea nile kitimoto wakati unajua uchumi umebana.
 
Egypt nchi ya Kiislamu..
Makafiri wanafanya nini pale...
Wanatia najisi tu nchi za watu...
Mimi ningelikua Presida wa Egypt ningepiga marufuku hakuna cha Papa wala Nyangumi kuingia.
Hahahahahaha
 
Pope shinouda wa tatu alishapiga marufuku.
Unajua tofauti ya orthodox christian coptic church a catholic Coptic church ? Unajua ni kwanini wanafanya misa Leo pamoja na Francis? Ni k wasababu ni wakatoliki. Usichanganye na wa orthodox hao, tena wa orthodox ni baadhi tu ndio hawali nguruwe.
 
Unajua tofauti ya orthodox christian coptic church a catholic Coptic church ? Unajua ni kwanini wanafanya misa Leo pamoja na Francis? Ni k wasababu ni wakatoliki. Usichanganye na wa orthodox hao, tena wa orthodox ni baadhi tu ndio hawali nguruwe.
Pope wao alishapiga marufuku.
 
Egypt nchi ya Kiislamu..
Makafiri wanafanya nini pale...
Wanatia najisi tu nchi za watu...
Mimi ningelikua Presida wa Egypt ningepiga marufuku hakuna cha Papa wala Nyangumi kuingia.
Najisi wa mwisho kabisa ni Marioo wa Bi Khadija, Mtume wako bwn. Mudy aliyetiwa unajisi na Nguruwe waliokula maiti yake kule Mecca.
 
Back
Top Bottom