Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Papa aliamua kutembelea sehemu za Moshi kwa ibada maalum baada ya kuambiwa Moshi kuna wakristo wengi sana.
Na kweli, kufika pale Moshi ibada ilifanyika uwanja wa wazi na watu weeengi sana walifurika uwanjani,wakubwa kwa watoto, wake kwa waume.
Papa alishangaa sana kuona umati ule na akavutiwa maana hata machifu walikuwepo, Marealle,Massawe, Moshi, Mushi, Mwasha na hata Kimaro na Kimario.
Papa akwaona wazee wa pale Moshi na kuwauliza, "hawa watu niwaombee nini toka kwa Baba aliyeko juu?"
Baada ya majadiliano mafupi na waumini wao wazee wale wakamjibu Papa.
Ombi kubwa wanaloomba lifutwe na linawakwaza sana ni amri ya saba, USIIBE.
Masikini Papa akazimia!
Na kweli, kufika pale Moshi ibada ilifanyika uwanja wa wazi na watu weeengi sana walifurika uwanjani,wakubwa kwa watoto, wake kwa waume.
Papa alishangaa sana kuona umati ule na akavutiwa maana hata machifu walikuwepo, Marealle,Massawe, Moshi, Mushi, Mwasha na hata Kimaro na Kimario.
Papa akwaona wazee wa pale Moshi na kuwauliza, "hawa watu niwaombee nini toka kwa Baba aliyeko juu?"
Baada ya majadiliano mafupi na waumini wao wazee wale wakamjibu Papa.
Ombi kubwa wanaloomba lifutwe na linawakwaza sana ni amri ya saba, USIIBE.
Masikini Papa akazimia!