Panya wa ajabu

Panya wa ajabu

mapipando

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
2,922
Reaction score
3,564
Umewahi kuona ama kuwaza kuwa panya anaweza kuwa namna alivyo huyu?
IMG_20180718_160107.jpg
 
Kuna mmoja aliwahi kuua mjusi, then akaja kuleta Uzi humu akijitapa kwa jinsi alivyo pambana na mnyama mkali ndani, na picha akatupia kabisaaaa....
Wanaume wa Daslam, mnatabu sana... tehteehhh
 
Kuna mmoja aliwahi kuua mjusi, then akaja kuleta Uzi humu akijitapa kwa jinsi alivyo pambana na mnyama mkali ndani, na picha akatupia kabisaaaa....
Wanaume wa Daslam, mnatabu sana... tehteehhh
Hahahahaha mkuu ila hii iko tofauti na ya huyo umsemae.
Huyu panya nilitaka nimwondoe uhai lakini nilipogundua yakuwa ni mlemavu nikaingiwa na roho ya huruma dhidi yake nikaamua kumtupia kwenye majani akapambane na hali yake.
 
Mkuu we utakua jirani yangu mkuu maana siku tatu zilizopita na mimi nimdaka home kwangu nilivojua ni mlemavu nikamtupa nje kumbe alihamia kwako
 
Hahahahaha mkuu ila hii iko tofauti na ya huyo umsemae.
Huyu panya nilitaka nimwondoe uhai lakini nilipogundua yakuwa ni mlemavu nikaingiwa na roho ya huruma dhidi yake nikaamua kumtupia kwenye majani akapambane na hali yake.

Mkuu we utakua jirani yangu mkuu maana siku tatu zilizopita na mimi nimdaka home kwangu nilivojua ni mlemavu nikamtupa nje kumbe alihamia kwako
Nisikilizeni kwa makini.

Huyo ni panya mtu anajigeuza hivyo makusudi akijua hamuwezi kumuua.
Nyumba zenu zitaanza kukumbwa na mikosi msipojikinga.

Nitafuteni tulitatue hilo swala.
 
Mkuu we utakua jirani yangu mkuu maana siku tatu zilizopita na mimi nimdaka home kwangu nilivojua ni mlemavu nikamtupa nje kumbe alihamia kwako
ww si jiwe kwan nyumba nyeupe kuna panya
 
Nisikilizeni kwa makini.

Huyo ni panya mtu anajigeuza hivyo makusudi akijua hamuwezi kumuua.
Nyumba zenu zitaanza kukumbwa na mikosi msipojikinga.

Nitafuteni tulitatue hilo swala.
Mkuu hayo mawazo wala hayatafanikiwa
 
Kuna mmoja aliwahi kuua mjusi, then akaja kuleta Uzi humu akijitapa kwa jinsi alivyo pambana na mnyama mkali ndani, na picha akatupia kabisaaaa....
Wanaume wa Daslam, mnatabu sana... tehteehhh
Alikua kicheche
Cc
bigmind
Hii hapa...
Muda sasa takribani mwaka na miezi nasumbuana na huyu kicheche. Kicheche huyu bwana ni kama alikuwa anatumwa, amekula viranga na kuku wangu sana, huwa anafumua nyavu za banda na kutinga ndani usiku, anasomba vifaranga kimyakimya nikiamka mama kuku hana viranga.

Mara chache sana huwa inatokea mama kuku akistuka nitaamshwa na mayowe makubwa natoka nduki bandani mara mlango ukilia tu, huyo anasepa.

Sasa jana shetani wake kazidiwa ujanja na Mungu wangu akamtuma mapema sana, kabla ya saa mbili maana amezoea huwa anazamia mida ya wachawi usiku wa manane, jana nikiwa nipo nje napunga upepo natega nikaone taarifa ya habari nikasikia kelele za mama kuku, nikatoka nduki hadi bandani abadani USO KWA USO na huyo mbaya wangu kicheche, nilichofanya nikazima taa na kuwasha hivyo hali ile ili mchanganya sana KICHECHE akapotea njia yake aliyochonga kwa pesa ya makinikia.

Mungu saidia nikakimbilia upande alipo chonga njia, ile anataka apande nilimpa buti la haja, akatoa mlio kama simba, kidogo nijikojolee kujikaza kiume nikamuita mshikaji wangu njoo huku vita ni vita mura takenya mura waituuh..(hapa najua ni akina mwita na bhoke wameelewa).

Kicheche kanichimba biti, na Mungu saidia nikapata kipande cha ubao nikaenda naye SAKO KWA BAKO anakala rugu ya kichwa mara chini ila sema ukweli hii vita ilikuwa kubwa mno..! Mungu saidia nikawa nimeshinda vita na kicheche mwenyewe huyu hapa chini[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 621811View attachment 621812View attachment 621813View attachment 621814

Wataalam mnaojua vicheche njooni mtwambie huyu kicheche wa namna gani, na anawezaje kuishi mjini kabisa dsm, katikati ya mji maana sikai maeneo ya mashambani.

Nasubiri vita iendelee maana naamini atakuwa na familia niombeni nishinde vita hii.

ASANTENI .
 
Nisikilizeni kwa makini.

Huyo ni panya mtu anajigeuza hivyo makusudi akijua hamuwezi kumuua.
Nyumba zenu zitaanza kukumbwa na mikosi msipojikinga.

Nitafuteni tulitatue hilo swala.
mzee baba ushaanza kumpokea majukumu Mshana
 
Back
Top Bottom