chai ya rangi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2026
- 911
- 2,703
Huyu panya ungemuua au ungemuhurumia kwaajili ya watoto wake ?
Mimi binafsi ninamuacha ila tutakuja kupambana hapo baadae watoto wakishakua wakubwa, na watoto wakiwa wakubwa na kuanza usumbufu hapo ndipo nitaanza kudeal nao kwasababu sasa hivi hawajui chochote bado
sababu nyingine ya kuwahurumia hawa watoto ni kwasababu wanaweza kuwa taifa la kesho anaweza kutokea panya kama Magawa mwenye umuhimu kwa Taifa