carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,579
- 285,646
inamaana walipofikishwa hospital hakuna daktar aliethibitisha kama kwel wamekufa?au walipelekwa moja kwa moja motuary??
Madaktari wa dar bhana eti wamemruhusu kutoka mortuary ingekuwa tarime wangemlazimisha kubaki mortuary au sio mikuria katili
Madaktari wa dar bhana eti wamemruhusu kutoka mortuary ingekuwa tarime wangemlazimisha kubaki mortuary au sio mikuria katili
Madaktari wa dar bhana eti wamemruhusu kutoka mortuary ingekuwa tarime wangemlazimisha kubaki mortuary au sio mikuria katili
Mkuu umenichekesha sana :-D:-D:-DMadaktari wa dar bhana eti wamemruhusu kutoka mortuary ingekuwa tarime wangemlazimisha kubaki mortuary au sio mikuria katili
Hahahahahaha!Hawa panya road tutawamaliza kweli? watu wanauwawa lakini bado wana uwezo wa kuzinduka!!!!! kazi tunayo.
Only in Tanzania. Ma Dokta wa mwendokasiwaafrica wengi tunafia kwenye mochwari baada ya kufia wodini inashangaza sana mtu eti anatoka mochwari kupelekwa wodini baada ya kutoka wodini kwenda mochwari
labda nikuulize, una mtoto ?Hawa panya road tutawamaliza kweli? watu wanauwawa lakini bado wana uwezo wa kuzinduka!!!!! kazi tunayo.
Kabisa aiseeWalimu kama Mwl Msigwa wanatakiwa wasambazwe nchi nzima kukabiliana na hii hali ya wanafunzi!
Wameua wapi dogo kazinduka Mortuary ,sijui walikuwa wanampiga na maneno ,maana ndio silaha kubwa ya wanaume wa DarHe wale wanaume legelege wameua? Kweli Dar ya leo sio ya Jana ...Ole...mara Saba
Toa maoni au hoja moja kwa moja kutaka kujua nina mtoto au sina hakuna umuhimu!labda nikuulize, una mtoto ?