Panya road azinduka akiwa Mortuary

Panya road azinduka akiwa Mortuary

Inamaana hospitali huwa hawahakiki kwa kina mpaka ukawekwe kwenye jokofu la mochwari
 
Duuuu inamaana hawakufanyiwa vipimo vyote vyote kama vital signs or blood pressure ili kujiridhisha kama kweli wamekufa? Hatari sana
 
Habari ya ovyo.hakuna za sababu za kupigwa?hatua za kisheria zipi zimefuatwa?habari zako mchwara peleka toilet.
 
Miaka 16 tu tena ni mwanafunzi wa kidato cha tatu! Watu muwe na busara na siyo kushambulia binadamu wenzenu kama wanyama namna hiyo.! HUKO HOSPITALI: Hivi ilishindikanaje kujua kuwa huyu mtu bado yuko hai.?! Kweli vyeti vikaguliwe!
Atakuwa alifika ng'ambo ya pili malaika wakamrudisha ndio maana kaonekana amefariki halafu karudi tena. Sidhani kama ni cheti.
 
Tunakuwa tumebeba panga bro,tushavuta cha Arusha na kubugia toti kibao za Valuu.
Bado sio sababu, hivyo bado vitoto. Ilitakiwa vitafutwe popote vilipo na mob justice ihusike vingenyooka. Vikikamatwa na kuwekwa lupango vitajiona vidume.
 
Mzazi atakayeshindwa kumsimamia vyema mtoto wake na kukiuka sheria ya mtoto ya mwaka 2009 katika kifungu cha 14, atafikishwa mahakamani na akitiwa hatiani atafungwa miezi 6 au kulipa faini ya Sh milioni 5,” alisema Kamanda Muroto.
Ili uweze kusimamia mtoto vizuri inakupasa uwe na uelewa wa kumsimamia, rasiliamali pesa (kipato) na jamii iliyokuzunguka. Kwa maisha ya sasa ya Mtanzania tena wa Dar es Salaam hivi vitu ni adimu sana na kibaya zaidi watoto tayari wameshazaliwa wapo!
Kwa wale ambao hawakuwahi kuelewa 'social crisis' ni kitu gani basi waanze kufuatilia sasa ili kuelewa impacts (matokeo) za division five, ujinga pamoja na rushwa iliyokithiri!
 
Hawa panya road tutawamaliza kweli? watu wanauwawa lakini bado wana uwezo wa kuzinduka!!!!! kazi tunayo.
 
Daaah panya wagumu kufa...unapewa kisago unafikishwa mochwari unazinduka unatafuta tundu unachoropoka hata paka hajakuona.....hawa panya wana hirizi si bure...
In a serious note huyo dogo miaka 16 kafa, kapaa had mbinguni karudi... kalala katikati ya maiti mochwari kisha kazinduka..hivi akirudi kitaa utamtishia nn? Akiomba ATM card na passwed unampa tu bila kupinga.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
ALIPOONA KIPIGO KINAZIDI KIWA KIKALI ALIJIFANYA KAKATAA ROHOO...

OVA
 
walitakiwa wammalize tu kwa kumnyonga pale pale mochwari
 
Back
Top Bottom