Panya road azinduka akiwa Mortuary

Panya road azinduka akiwa Mortuary

Watoto kama hawa wakipigwa watu wanapiga makelele mwezi mzima.. mimi nawaomba walimu waendelee kuwapa mboko za maana..
 
Hivi Mochwari ingekuwa ndio kaburi, watu wengi sana si wangekuwa wanazikwa hai?!
 
walimu na wazazi wao wana changamoto[emoji24][emoji24][emoji24]

walimu wakiwapiga mnawafukuza chuo/ na mzazi hawezi kumfatilia mwanae muda wote[emoji24]
 
Back
Top Bottom