Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,155
- 31,056
Mkuu we wadhani utani, yani serikali ya awamu ya tano ina kila aina ya mbinu. Imeona raia zinazingua kwenye kutuwakilisha, ikatuma panya na sasa nishani ya dhahabu hiyo. Yani lazima kieleweke soon tutatembea kifua mbele.Mkuu nmecheka kinoma