Panua basi

mutant gene

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
876
Reaction score
326
Sauti 1: PANUAA!

sauti 2: naogopa!

Sauti 1: PANUAA BASI!

Sauti 2: Naogopa!

Ni maneno yakitokea chumbani yakamfanya mpita njia ajisogeze dirishani...

Sauti 1: waogopa nini?

Sauti 2: nitatoka damu nyingi...

Sauti 1: kwani ndiyo mara yako ya kwanza?

Sauti 2: ndio!

Sauti 1: jikaze basi sikuumizi...

Sauti 2: aiiiih!! Siwezi...!

Sauti 1: yani haujawahi hata siku 1?! Tangia uzaliwe?!

Sauti 2: ndio, tangia nizaliwe sijawahi kung'oa jino!!

Mpita njia akakasirika: us****e mtupu!! kum****na zenu!!! tunatiana ny*ge bure kumbe hii ni hospitali!!!! ufala huo...

HAHAHAHAH!!!
 
Hahahahaha!!hehehehehe!uwiiiiiiiiiiiii!!kho kho kho khoooo!!Nouma sana
 
ha ha ha ha.... kw kw kw... da kwel jf n nowma mpaka mbavu znauma
 
we jamaa.. yaan nimecheka, mara ya mwsh ilkuw 2012
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…