Panama papers: Majina ya Watanzania waliohifadhi fedha nje ya nchi yatajwa

Angalizo. Mossack Fonseco provide shareholders with structures supposedly designed to hide the
identity of the real owners.

Hii posti yako inafanana na kamchezo ka bosi wa Kenya Power (Stima) katika post namba 169 ya uzi , kuwa wala rushwa hutumia watu wengine ambao ni wafanyabiashara wakubwa au kampuni feki kuwafichia pesa za 10% au rushwa ngambo maana wafanyabiashara hao wana miamala (transaction) mingi ya pesa na hivyo kusaidia kutakasa pesa chafu kwa niaba ya vigogo wasiotaka majina yao halisi yatumike katika huo upigaji wa pesa chafu.
 
Hongera sana !!! Wameweza kuzihifadhi na kuzitunza fedha zao kule.. maana hapa kwa manyangau wa benki zetu huwa wanazichakachua na kuzichezesha (stafu wa mabenki wanaghushi na kuiba) !!!
 
Nyerere hakufanya kosa kuwafilisi hawa wahindi,wamezidi sasa,kuweka pesa nje haiwatoshi hadi kuficha sukari!Mahakama ya mafisadi itengewe fungu kubwa aisee
 
Aisee nimeshindwa hata kumalizia list!! Hivi hawa wahindi kwa nini wasifukuzwe nchini? Naanza kumkumbuka Idd Amini wa Uganda
Ndugu tumia akili usitumie moyo wako......
Mkuu, Pole pole... acha kujumuisha watu wee tuliza jazba !! FYI, hao wenye a/c huko nje, ujue hata hapa nchini wamewekeza mabilioni na wanazo fedha zao humu nchini ktk maBENKI YETU na zikiwa katika mzunguko wa kiuchumi.... hiyo ni halali yao madamu hawakuvuja sheria.... " (mulitaka waweke mayai yote ktk kikapu kimoja?)"
 
Nyerere hakufanya kosa kuwafilisi hawa wahindi,wamezidi sasa,kuweka pesa nje haiwatoshi hadi kuficha sukari!Mahakama ya mafisadi itengewe fungu kubwa aisee
Acha jazba..... aliwafilisi eeeeh HALAFU IMEKUAJEE!!!!!

Mkuu, Pole pole... acha kujumuisha watu wee tuliza jazba !! FYI, hao wenye a/c huko nje, ujue hata hapa nchini wamewekeza mabilioni na wanazo fedha zao humu nchini ktk maBENKI YETU na zikiwa katika mzunguko wa kiuchumi.... hiyo ni halali yao madamu hawakuvuja sheria.... " (mulitaka waweke mayai yote ktk kikapu kimoja?)"
 
Acha jazba..... aliwafilisi eeeeh HALAFU IMEKUAJEE!!!!!

Mkuu, Pole pole... acha kujumuisha watu wee tuliza jazba !! FYI, hao wenye a/c huko nje, ujue hata hapa nchini wamewekeza mabilioni na wanazo fedha zao humu nchini ktk maBENKI YETU na zikiwa katika mzunguko wa kiuchumi.... hiyo ni halali yao madamu hawakuvuja sheria.... " (mulitaka waweke mayai yote ktk kikapu kimoja?)"
Tatizo uchafu miuchafu yote inauhusisha waindiii tuu.
 
Pia Rostam aziz mfadhili wa chadema kwenye kampeni.

Huyo Fauzi Abood ni mdogo wake Aziz Abood wa Morogoro.
Unajaribu kupindisha mada iende cdm, umeshindwa kwani hujui matajir wote hao wa kihindi ndo wafadhir wakubw wa ccm??
 
Sasa nimeelewa kwa nini Iddy Amin Dadaa aliwatimua na kuwapiga marufuku ya kufanya biashara Uganda hawa wahindi
Ukiangalia orodha hiyo imejaa majina ya wahindi tu...biashara wanafanya Tanzania lakini pesa wanazitoroshea nje.
Leo hii likitoka tamko la kuwafukuza mimi nitakuwa wa kwanza kuunga mkono
 
Asilimia 90 uchumi wa Tanzania upo mikononi mwa wahindi huo ndiyo ukweli.

Viwanda, Makampuni makubwa, mabenki, wafanyabiashara wakubwa, karibia wote ni wahindi.

Hawa wameanza kukusanya pesa ya halal na halam toka enzi ya mkoloni.

Ujinga wetu ndio umesababisha wakafika hapo na kujijengea himaya Tanzania. Nchi za wenye akili na wanaojitambua hawezi pata kitu. Njoo huku uone ndo wabeba mizigo na wakusanya vitu watu wasivyotaka ili wauze wapate hela ya kula.
Lazima tuamke, hawa watu hawapaswi kuendelea kutunyonya. wachunguzwe na wafilisiwe.
 
Kwani kuna haramu mfanyabiashara kujiwekea akiba zake nje ya Tanzania?

Hata mimi nna account nje ya Tanzania kwa miaka zaidi ya 30.

Tatizo ukiona kuna mwanasiasa hajawahi kuwa mfanya biashara na ana mifedha kibao nje.

Lakini kwa watu kama kina Rostam, Manji, na wengine wa caliber hiyo ni kawaida sana. Licha ya kuwa na fedha tu nje mbona kuna Watanzania wengi sana wafanyabiashara kubwa kubwa na ndogo ndogo wana miradi na wamewekeza nje ya Tanzania?
huwa unaongea sometimes point, ila leo umebore. Ina maana huoni kuwa sio halali raia wa kigeni ku-exploit uchumi wetu?
 
Tatizo uchafu miuchafu yote inauhusisha waindiii tuu.
Usijumuisheeeeeeeee (sema muhindi kwa jina lake) WEWE utaridhika wafunguwa au wahalifu waliomo GEREZANI ni waAfrika !! halafu aje mtu aseme WAAFRIKA wote ni ........... !!!
Hebu tumia akili ndugu !!!

rejea kampeni za Rais mtarajiwa wa USA TRUMPH !!!!!! kuhusu waafrika..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom