mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,925
- 8,440
Haaaaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,fikiria hao akina dada wangekuwa pale uwanja wa Abajaro Sinza au pale kwenye timu ya Ashanti Ilala huo mtafuruku ungekuwaje,hao akina dada hata mvuta bangi akiambiwa aache kuvuta bangi ili unishumu ataacha,du bonge la mfereji wa Suez,meli inapita kwa ulaiiniHii timu i ngekuwa kwetu,uwanjani pangekosa mahali pa kutema mate.