Pana mahusiano gani kati ya radi kuipiga (striking) miti hasa miti mikubwa?

busy bees

JF-Expert Member
Aug 26, 2016
2,249
1,332
images_3.jpeg
 
Wakati mwingine miti hii hupasuliwa (splitting) vipande vipande ama kuvunjwa
images_6.jpeg
 
Sina nia mbaya. Ila nakushuri tu hizo Picha ambazo ziko katka post tofauti uziweke kwenye post namba one.
Nilitamani nifanye hivyo ... but simu yangu imeshindwa kulifanikisha hilo mkuu .... if you can organize them in that manner it'll be good
 
Nilitamani nifanye hivyo ... but simu yangu imeshindwa kulifanikisha hilo mkuu .... if you can organize them in that manner it'll be good
OK. Sina mamlaka hayo mkuu maana Mimi siyo mtoa post otherwise itabidi niipost Mimi hiyo thread yako kitu ambacho siyo(nitakuwa nimeiba idea yako). Usijali mkuu. Baadae utapata majibu.
 
Kwa kawaida, radi inapotoka juu kuja chini, inatua kwenye the most protuding structure. Kama ni mti, na ndo mrefu kuliko yote itatus humo. Sasa radi ni umeme with no control. Ikikutana na resistance, joto hutokea and hence moto
 
Kwa kawaida, radi inapotoka juu kuja chini, inatua kwenye the most protuding structure. Kama ni mti, na ndo mrefu kuliko yote itatus humo. Sasa radi ni umeme with no control. Ikikutana na resistance, joto hutokea and hence moto
So kama hiyo "the most protruding structure" ni jengo my be la makazi, biashara au shughuli yoyote ya kijamii radi ikitua hapo ni majanga?
 
Kwa kawaida, radi inapotoka juu kuja chini, inatua kwenye the most protuding structure. Kama ni mti, na ndo mrefu kuliko yote itatus humo. Sasa radi ni umeme with no control. Ikikutana na resistance, joto hutokea and hence moto
Kuna vitu vinakua ni virefu kuliko miti, mfano ni minara ya simu. Lkn mbona sijawahi kusikia ikidhuriwa na radi? Badala yake ni miti. Hapa ufafanuzi wake ni upi haswa
 
Kwa kawaida, radi inapotoka juu kuja chini, inatua kwenye the most protuding structure. Kama ni mti, na ndo mrefu kuliko yote itatus humo. Sasa radi ni umeme with no control. Ikikutana na resistance, joto hutokea and hence moto
Ni kweli!
Radi inaweza kugonga mahali popote japo majengo marefu (skyscrapers), communication towers, miti mirefu, lines za umeme n.k., ni vitu ambavyo Mara nyingi viko susceptible na radi.
Sababu: vitu virefu angani upunguza gap la insulating air kati ya mawingu na ardhi. Kwa vile radi hutoka juu kwenda chini basi ni rahisi vitu hivyo kupigwa na radi kwanza kabla ya structures nyingine.
 
Kuna vitu vinakua ni virefu kuliko miti, mfano ni minara ya simu. Lkn mbona sijawahi kusikia ikidhuriwa na radi? Badala yake ni miti. Hapa ufafanuzi wake ni upi haswa
Mara nyingi minara ya simu, electric towers, maghorofa marefu na structures ndefu angani uwekewa a solid earthing system kwa ajili ya kuondoa damages ambazo zingesababishwa na radi.
 
Back
Top Bottom