Ndugu wanaJF, huwa nawaheshimu sana watu wanaopata muda wa kukaa chini na kusoma/kutunga/kuandika vitabu. Kati ya marais wa Tanzania, ni Mwalimu Julius Nyerere tu ndiye aliyekuwa na muda wa kukaa chini/kusoma/kutunga/kuandika vitabu vingi zaidi ukilinganisha na 'successors' wake.
Ametuachia mchango mkubwa sana na leo hii vitabu vyake vinasomwa na watu mbalimbali duniani kwani maktaba nyingi hazikosi vitabu vyake. Hii inatufundisha nini?
Ametuachia mchango mkubwa sana na leo hii vitabu vyake vinasomwa na watu mbalimbali duniani kwani maktaba nyingi hazikosi vitabu vyake. Hii inatufundisha nini?