First Eleven
Member
- Apr 2, 2011
- 20
- 1
Na wote walikuwa wamepwaya na maendeleo Sifuri.... Kwahiyo hakuna wa kumshtua mwenzake...
Na hao wote uliowataja na aliotaja Ntemi K wameteuliwa na kilaza mkuu mwenyewe!!! Kaazi kweli kweli.
JK kawekwa,kawekeka
Na kioja zaidi..huyu jamaa licha ya the kutuhumiwa ukilaza....amechagiliwa mara 2 mfululizo kuwa Rais....sasa hapa Kilaza ni nani? kama sie mimi na wewe?
Mimi na wengine wengi sana hatukumchagua.....mapaka leo tunashangaa alichaguliwa na nani wakati wengi wetu hatukumchagua........labda alijichagua mwenyewe
Waziri wa Mambo ya Nje, Jakaya Kikwete, hakununua nyumba ya serikali Mikocheni?... Maghufuli naye hawezi kukimbia kwa sababu akijiuzulu tu JK atamgeuka katika suala la uuzaji wa nyumba.
Jk mtu wa visasi jaman. Kamwambia magufuli,eti wizara na tanroads ni wazembe wa kutupwa. Jaman kweli?
[SIZE="3"[SIZE="3"]]Naomba ufafanuzi ktk hiyo red. JF is for Great Thinkers tafadhali don't down grade it kwa watu kuweka sweeping statements kama hizo ambzo ni unsubstantiated.
Hiyo Kanuni ya Sheria mpya ya barabara anayotamba nayo Dr Magufuli hivi sasa na kwa pupa kufikia hatua ya kuifanyia misquoting kiasi cha kutaka kulaza watu nje isivyo halalai ilitungwana kupitishwa wakati Dr Shukuru Kawambwa alipokuwa Waziri wa Ujenzi, but some people dont use the press for seekiing publicity and cheap popularity.
Laiti kama Magufuli angekuta hakuna hata hiyo Kanuni hapo wizarani, angepata wapi ubavu wa kupayuka hayo nayopayuka kila siku?
Tuache ushabiki lets go for reality!!!![/SIZE]
[/SIZE]
Ni mpumbavu na mjinga tu asiyeona tofauti ya kiutendaji kati ya magufuli na kawambwa. Kuunda sheria kuna kazi gani! Ebu niambie wanaounda sheria ni waziri au ni watendaji?? Hoja yako imelegea kama mlenda.