EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Mh Kessy wa Nkasi alisema zenji ukipiga filimbi wote wanakusanyika fasterMimi ni Mwanaccm nisiye kubaliana na mgawanyo wa aina yoyote ile katika mazingira ya usawa (yaani pasu kwa pasu) kati ya watu milioni zaidi ya 50 dhidi ya watu milioni mbili kasoro, kwa kisingizio cha Muungano!
Hongera sana komredi mwenzangu.Mi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,
Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,
Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!
Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,
Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!
Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!
Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!
Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!
Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Nilisitisha Kwa Kuwa kulikuwa kuna code ziko wazi sanabritanicca ile story yako ya kuwasaidia CCM kucheza rafu siioni tena! Ile ya 2015 election, mbinu chafu za CCM kuiba kura, naomba link kama hutajali
Muungano ufe kila mmoja akae kwakeMimi ni Mwanaccm nisiye kubaliana na mgawanyo wa aina yoyote ile katika mazingira ya usawa (yaani pasu kwa pasu) kati ya watu milioni zaidi ya 50 dhidi ya watu milioni mbili kasoro, kwa kisingizio cha Muungano!
Anajilazimisha kuwa CCM.Acha kuropoka, humjui huyu, wewe umejiunga JF juzi juzi acha kubishana na huyu jamaa! Hawa ndio CCM, tafuta thread yake alivyoeleza jinsi CCM walivyoiba Kura na alikua part of the game
Mbona hatukuwasikia akina Butiku wakinena neno wakati wa Enzi za Mwendazake? Afadhali hata HK nilikuwa naona ana twit japo kwa tahadhari kubwa!Mi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,
Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,
Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!
Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,
Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!
Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!
Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!
Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!
Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Kama ni kweli hayo unayaamini kwa moyo wako wote, basi wewe ni miongoni mwa wnaccm wachache ambao hawajaonja unga wa ndere. Siku ukiuonja hutayaamini hayo kabisa.Mi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,
Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,
Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!
Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,
Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!
Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!
Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!
Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!
Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Ni kweli kabisa inasikitisha sana. Kama wazazi lazima linawahuzunisha mpaka sasa. Nawapa pole kwa huzuni hiyo.Ben saanane wanalia hawajui alipo,
Umekipenda mwenyewe, aacha uisome naamba eheeee, Ili uende mbele kwambeleMi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,
Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,
Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!
Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,
Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!
Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!
Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!
Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!
Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Ikiwa Pana ukweli tuwaachie zanzibari Yao wasiendelee kula burendio maana wazanzibar wanaupenda muungano sana. Unawalipa. Wanakula wasipovuna.
Ni kawaida tu hata mke anaweza asimpende mume akavumilia tu asiombe talaka. CCM kuna watu wengi tu waadiliu na hawapwndi kuone lakini walibatizwa kwa moto na chapa isiyofutika.Mbona hauna sifa hata moja ya UCCM...
Ukipewa nafasi utakuta haya unayoyasema sio utakayoyatenda kwa kuwa kila binadamu unayetaka afanye unavyotaka hatofanya na utajikuta umefanya tofauti na unavyo ongea hapa.Mi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,
Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,
Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!
Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,
Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!
Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!
Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!
Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!
Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Acha upumbavu kujuinga JF mapema ndio kigezo cha kuwa anaijua sana CCM ,kwani wanasccm wote wapo JF ,kina mzee warioba na kingunge wapo humu?Acha kuropoka, humjui huyu, wewe umejiunga JF juzi juzi acha kubishana na huyu jamaa! Hawa ndio CCM, tafuta thread yake alivyoeleza jinsi CCM walivyoiba Kura na alikua part of the game
Mwenye fikra kuu anakifua ,anajua nini aseme na wapi sio kidampa kama wewe aliyeahidi kuachana na siasa sijui unawashwa nini sasaUSSR Mimi ni CCM kabisaaa ila huwezi Ona Kama mimi ni CCM kwakuwa wewe unapenda Wenye fikra finyu haya jikumbushe hapa
Tangu nimeanza kufuatilia makala zako sikuwahi kujua kama wewe ni chama dola , lakini nilikuwa mabosi kuwa utakuwa chama dola kwani maandiko yako yalikuwa katikati wakati mwingine yalikuwa 🔥🔥kwa. Wapizani na kea watawala piaMi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,
Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,
Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!
Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,
Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!
Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!
Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!
Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!
Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!
Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA ENCYCLOPEDIA