Pamoja na kwamba mimi ni mwana CCM mzuri lakini haya siyaafiki

Mimi ni Mwanaccm nisiye kubaliana na mgawanyo wa aina yoyote ile katika mazingira ya usawa (yaani pasu kwa pasu) kati ya watu milioni zaidi ya 50 dhidi ya watu milioni mbili kasoro, kwa kisingizio cha Muungano!
Mh Kessy wa Nkasi alisema zenji ukipiga filimbi wote wanakusanyika faster
 
Mi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,

Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,

Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!

Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,

Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!

Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!


Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!


Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!

Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!

Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!

Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa


KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Hongera sana komredi mwenzangu.

Nilishayaona hayo kwa upande wangu tangu awali.

Unyama wanaofanyiwa wanasiasa wa upinzani ni mkubwa.

Siamini kwenye siasa hasi ambazo sisi CCM tumeziasisi.

Tumefanya sana ibada za sanamu za kumtukuza ba kumuabudu mtu badala ya Mungu.
 
Nasikia Paka ndio mnyama mnafiki kuliko wote. Anajenga urafiki pale anapoona kuna msosi mezani. Ukiisha anasogea kwa mwingine. W

Ukiangalia sana hawa wana siasa wa Tanzania, wamejaa maslahi binafsi. Bora Mbowe na TL wanaeleweka wana simamia wapi
 
Wewe umejitambua tuungane sasa tupate katiba mpya, na Musiba anatumika kama toilet paper kwa malipo ya unga na maharage
 
Mi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,

Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,

Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!

Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,

Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!

Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!


Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!


Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!

Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!

Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!

Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa


KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Mbona hatukuwasikia akina Butiku wakinena neno wakati wa Enzi za Mwendazake? Afadhali hata HK nilikuwa naona ana twit japo kwa tahadhari kubwa!
 
Mi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,

Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,

Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!

Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,

Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!

Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!


Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!


Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!

Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!

Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!

Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa


KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Kama ni kweli hayo unayaamini kwa moyo wako wote, basi wewe ni miongoni mwa wnaccm wachache ambao hawajaonja unga wa ndere. Siku ukiuonja hutayaamini hayo kabisa.
KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
 
Ben saanane wanalia hawajui alipo,
Ni kweli kabisa inasikitisha sana. Kama wazazi lazima linawahuzunisha mpaka sasa. Nawapa pole kwa huzuni hiyo.

Hata hivyo, inashangaza sana, tena sana , mwana CCM mzuri tu kutokusikitishwa na mauaji ya viongozi wa serikali na wale wanachama na viongozi wa CCM mkoa wa Pwani kule maeneo ya Rufiji. Ilifika hadi askari wetu waliuawa kule. Hii inati mashaka sana.

Mimi binafsi sitaki kuamini kama yawezekana na wewe ulikuwa unahusika kuonyesha kutofurahishwa kwako na namna nchi ilivyokuwa inaendeshwa wakati huo, hivyo kwa namna fulani na wewe labda ulikuwa unashiriki vitendo hivyo viovu. Na sisitiza labda wewe binafsi mleta mada. Neno labda lipewe uzito wake linalostahili.
 
Mi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,

Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,

Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!

Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,

Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!

Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!


Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!


Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!

Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!

Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!

Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa


KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Umekipenda mwenyewe, aacha uisome naamba eheeee, Ili uende mbele kwambele
 
kawai
Mbona hauna sifa hata moja ya UCCM...
Ni kawaida tu hata mke anaweza asimpende mume akavumilia tu asiombe talaka. CCM kuna watu wengi tu waadiliu na hawapwndi kuone lakini walibatizwa kwa moto na chapa isiyofutika.
 
Mi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,

Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,

Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!

Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,

Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!

Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!


Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!


Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!

Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!

Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!

Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa


KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Ukipewa nafasi utakuta haya unayoyasema sio utakayoyatenda kwa kuwa kila binadamu unayetaka afanye unavyotaka hatofanya na utajikuta umefanya tofauti na unavyo ongea hapa.

Binadamu sio kama unavyojifahamu wewe bali kila mtu na mawazo yake.
 
Acha kuropoka, humjui huyu, wewe umejiunga JF juzi juzi acha kubishana na huyu jamaa! Hawa ndio CCM, tafuta thread yake alivyoeleza jinsi CCM walivyoiba Kura na alikua part of the game
Acha upumbavu kujuinga JF mapema ndio kigezo cha kuwa anaijua sana CCM ,kwani wanasccm wote wapo JF ,kina mzee warioba na kingunge wapo humu?

Kwanza nikusaidie kilaza wewe nipo JF miaka mingi saa na I'd nyingi sana

Mwanaccm aliyehadithia eti yeye na mmewake walivyoiba kura kujivalisha uhusika tu hata ile ishu ya Dk shika ni usanii tu hakuna lolote

USSR
 
USSR Mimi ni CCM kabisaaa ila huwezi Ona Kama mimi ni CCM kwakuwa wewe unapenda Wenye fikra finyu haya jikumbushe hapa
Mwenye fikra kuu anakifua ,anajua nini aseme na wapi sio kidampa kama wewe aliyeahidi kuachana na siasa sijui unawashwa nini sasa

USSR
 
Mi ni miongoni mwa Wana CCM ambao sikupendezwa na Mheshimiwa Tundu Lissu Kupigwa risasi ,

Mimi ni Miongoni mwa Wana CCM ambao hatukukubaliana na jinsi nchi ilivyokuwa inaendeshwa na Bwana Magufuli, Mimi na akina Kagasheki, Mwandosya, January Makamba na Butiku tulikuwa hatukubaliani na hayo,

Mimi ni Mwana CCM ambaye Sikubali na sijawai kuamini Kama Mbowe ni Gaidi , labda anaweza akawa na tuhuma nyingine za kuchochea vurugu na kutotii amri za Mamlaka ila si Kwa kiwango cha ugaidi!

Mimi ni Mwana CCM ambaye sikukubaliana na jinsi wanaharakati na waandishi walivyoshughulikiwa Kipindi cha Magufuli na wengine wenye mawazo mbadala wakatishiwa Kama bwana Evarist Chahali na kukimbia nchi, Mama yake Kabendera Erik akatiweka kisa Mwanaye kabambikiwa kesi, Wazee wa Ben saanane wanalia hawajui alipo,

Mimi ni Mwana CCM ninayependa KATIBA mpya, siyo katiba ya maslahi ya wanaotaka kutawala bali wananchi Kwa ujumla, na cha kushangaza zaidi ni Mwana CCM nayeamini kwamba Tanganyika tunaonewa ndani ya Muungano japo wengi mnaona Zanzibar ndo wanaonewa tu!

Mimi ni Mwana CCM nayependa ushindani wa hoja na siasa za Utani refter kwa Nape Vs Mbowe 2011, Wassira Vs Chadema !!!


Mimi ni CCM ambaye siamini katika kuhama hama vyama kwakuwa ukianza kuhama utavimaliza vyote!!!!!


Mimi ni Mwana CCM nayeamini katika kusameheana kwa makosa madogo mfano Membe anao uwezo wa Kumsamehe Musiba wakayamaliza na niliwai kusema kwamba Cyprian Musiba anakosea sana!!!

Mimi ni Mwana CCM nayependa uhuru wa kutoa maoni na uwazi na kuwepo freedom of expression napenda kuandika na Kuongea!!!

Mimi ni Mwana CCM nayeamini Samia Rais na Mwenyekiti wetu bado anayo nafasi ya Kuyarekebisha makosa madogo Kama kuleta maridhiano!!!

Pia mimi ni Mwana CCM nayependa kuwashuri vijana kutotumika kisiasa


KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
Tangu nimeanza kufuatilia makala zako sikuwahi kujua kama wewe ni chama dola , lakini nilikuwa mabosi kuwa utakuwa chama dola kwani maandiko yako yalikuwa katikati wakati mwingine yalikuwa 🔥🔥kwa. Wapizani na kea watawala pia
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom