sjosh4
JF-Expert Member
- Apr 10, 2020
- 888
- 937
Na mawazo ya wanadamu ni mabaya siku zote.
Dah, nimegundua ngozi nyeusi sio maskini sababu hatuna akili, ila sababu ya roho mbaya.
Yani unataka namba ziongezeke na watu wafe ili iweje? Au kuna faida unapata?
Kama mataifa mengine namba inashuka na huduma zinarudi, kwanini Tanzania isishuke!?
Kama unaona raha, umwa wewe na familia yako. Period
Dah, nimegundua ngozi nyeusi sio maskini sababu hatuna akili, ila sababu ya roho mbaya.
Yani unataka namba ziongezeke na watu wafe ili iweje? Au kuna faida unapata?
Kama mataifa mengine namba inashuka na huduma zinarudi, kwanini Tanzania isishuke!?
Kama unaona raha, umwa wewe na familia yako. Period