Pamoja na jitihada zote ikiwemo ya lockdown jirani zetu Kenya, Uganda, Rwanda maambukizi ya Corona yanapanda iweje kwetu yashuke kutoka 509 mpaka 20?

Serikali Ina vyombo mbalimbali vya kukusanya taarifa, Wewe uko nyuma ya keyboard ukisubiria kigogo apost takwimu ambaye naye anategemea hisia zake tu kupost. Ni Nani Kati yako na serikali yenye taarifa sahihi?

Imani yenu iko wapi? Taifa limemuomba Mwenyezi Mungu na imeonekana bayana kuwa athari za Corona Tanzania Ni ndogo Sana.

Hivi nyie mlitaka Nini? Mnaukuza Sana huu ugonjwa, ila Mungu kasimama nasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na jitihada zote ikiwemo ya lockdown jirani zetu Kenya, Uganda, Rwanda maambukizi ya Corona yanapanda iweje hapa kwetu yashuke kutoka 509 mpaka 20? Hivi kweli kupunguza hofu au kuupuuza huu ugonjwa na kukubali kuishi nao ndiko kumefanya wagonjwa wapone haraka na maambukizi yakome haraka?

Idadi alizotoa jana na PM kituo kwa kitu wagonjwa walobaki nchi nzima kama 20 hivi, kweli ndani ya wiki mbili wagonjwa wanaweza pungua kutoka 509 mpaka 20 kwa nature ya kirusi cha Corona??
Kama ni muujiza nakubaliana nao lakini kitaalamu hesabu inagoma.

Najiuliza viongozi wetu na wananchi wanapoona na kusikia vifo na cases kama Brazil, Marekani, Urusi kutaja kwa uchache wanahisi nchi hizi zimemkosea nini Mungu?

Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.
Watu wanataka takwimu gani? Kuongezeka au kupungua kwa maambukizi? Ama waliopona?
 
Pamoja na jitihada zote ikiwemo ya lockdown jirani zetu Kenya, Uganda, Rwanda maambukizi ya Corona yanapanda iweje hapa kwetu yashuke kutoka 509 mpaka 20? Hivi kweli kupunguza hofu au kuupuuza huu ugonjwa na kukubali kuishi nao ndiko kumefanya wagonjwa wapone haraka na maambukizi yakome haraka?

Idadi alizotoa jana na PM kituo kwa kitu wagonjwa walobaki nchi nzima kama 20 hivi, kweli ndani ya wiki mbili wagonjwa wanaweza pungua kutoka 509 mpaka 20 kwa nature ya kirusi cha Corona??
Kama ni muujiza nakubaliana nao lakini kitaalamu hesabu inagoma.

Najiuliza viongozi wetu na wananchi wanapoona na kusikia vifo na cases kama Brazil, Marekani, Urusi kutaja kwa uchache wanahisi nchi hizi zimemkosea nini Mungu?

Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Afrika.
Nasikia Magufuli akiwa huko Chato aliuona mkono wa bwana. Ajabu ni kuwa akiwa hukohuko Chato akampoteza dada na mwanaye mpaka leo anaumwa Corona.

Acha niende nikamuone anihadithie huo mkono ni wa kidhungu au kiafrika? Ukiona sijarudi mjue nimekutana na uzushi
🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Nasikia Magufuli akiwa huko Chato aliuona mkono wa bwana. Ajabu ni kuwa akiwa hukohuko Chato akampoteza dada na mwanaye mpaka leo anaumwa Corona.

Acha niende nikamuone anihadithie huo mkono ni wa kidhungu au kiafrika? Ukiona sijarudi mjue nimekutana na uzushi
mpango wa Mungu sio sisi kufa kwa corona.

inatosha kusema hivyo,kama unaona hapana Mungu akusaidie uanze wewe kufa na corona baada ya hapa.
 
Jamani mtuelewe sisi msimamo wetu kama nchi ni kuipuuza kabisa corona maana imethibitika ni waafrika wachache sana wanaoweza kufariki kwa hichi kijiugonjwa
 
hili ndo jibu la hoja yake mkuu, hata Italy ilishashuka, kwa nini Tanzania isishuke?
Hesabu zako ni mbovu kwani hazijikiti kwenye data bali zimejikita kwenye hisia tu. Marekani walianza na 1 mpaka sasa wana takriban laki moja za vifo, wakati Wuhani nayo walianza na 1 lakini sasa wana vifo zero. Kwa hiyo namba zilianzaje na zikaishaje siyo scientific reasoning bila kujua model halisi ya jamii yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona leo upo na umekuja kupost humu,ujue hesabu hazijagoma,lakini kama ungekuwa haupo basi tungesema hesabu zimegoma,au ngoja kwanza na wewe uingie katika hesabu,tena hesabu ile iliyo chini ya thelathini,hakika utaleta mrejesho ukiwa ndani ya hesabu kuwa hesabu zimegoma kweli.
Lakini kwani we ulitaka hesabu ziweje ?
 
Kuna watu huwa ni kama wachawi wanapenda kusikia habari mbaya tu ili kuwapruvu mahasimu wao wrong. This time around God stands with Africans COVID-19 won't sweep us kama WHO na wapambe wao kama mleta sledi walivyotabiri.

"African God is not a lesser god" PLO Lumumba 2017

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mleta sledi!!?
 
mpango wa Mungu sio sisi kufa kwa corona.

inatosha kusema hivyo,kama unaona hapana Mungu akusaidie uanze wewe kufa na corona baada ya hapa.
Ukibishana na mlokole unaweza ukaota sugu mdomoni. Nikupishe bro!
 
korona ni ugojwa kwa kawaida sanaa mkuu. nchi za ulaya watu wengi wakiumwa mafua hadi wanalazwaa sasa korona iyo kwao ni tishio. uku bongo mafua sio kitu yanapona yenyewe tu
 
Nashukuru tu Mungu mana wazungu walisema Africa tutaokota mizoga
Ila Mungu sio Athumani wala Melinda Gates
 
Back
Top Bottom