pambano la watani wa jadi ,mshindi nani?

Kwa majibu ya kishabiki ni kwamba Simba wamekataa kufungwa na Yanga.Kule jangwani pilau linaendelea
 
malila,we mpenzi wa yanga nn?lete matokeo tujue,sasa hivyo unavyosema simba wamekataa kufungwa na yanga unamaanisha matokeo yapoje?
 
Back
Top Bottom