Palipotoboka panazidi kuvuja!

Palipotoboka panazidi kuvuja!

Ila hapo cov 19 ipo Tz ni propaganda ya kitoto sana
Sijui wanataka kutengeneza taharuki eti tusahau ya 29oct?
Not propaganda nakupa siku 90 kuanzia tangazo la covid 19 litoke utaniambia kitakacho tokea...!

Nikukumbushe tu pengine umesahau ni covid 19 iliyo pita na Dk. Kijazi...

Hiyo hiyo ndio ilipita na mzee Magufuli...

Ebu tuone hii ya sasa Itapita na kina nani na nani...!

Ni mwendo wa mnyukano ukizubaa UMEUAWA​
 
Not propaganda nakupa siku 90 kuanzia tangazo la covid 19 litoke utaniambia kitakacho tokea...!

Nikukumbushe tu pengine umesahau ni covid 19 iliyo pita na Dk. Kijazi...

Hiyo hiyo ndio ilipita na mzee Magufuli...

Ebu tuone hii ya sasa Itapita na kina nani na nani...!

Ni mwendo wa mnyukano ukizubaa UMEUAWA​
Propaganda hizo mkuu.
 
Sidhani kama washauri wao wa kiroho wanawaambia ukweli mambo yanazidi kuharibika na kila uchwao ni afadhali ya jana na ya kwamba hii haina comeback!

All we can say in very very painful feelings it will never be the same again!

Hizi dalili mbili zingetosha/zinatoshq kabisa kuwagutua toka usingizi mzito kwamba hamkani si shwari tena! No longer at ease!
1.
Jaribio la utekaji lililoshindikana nchi jirani na watekaji kujulikana! Hili jambo limezivua nguo
mamlaka na si jepesi kama inavyochukuliwa!

2. Kukamatwa kwa meli yenye bendera na usajili wa Tanzania iliyokuwa imebeba shehena ya maana ya madawa ya kulevya

Kwenye tukio la utekaji wameshindwa kabisa kujitokeza na kusema neno! Lakini kwenye tukio la meli msemaji kajaribu kulitolea ufafanuzi ambao hata hivyo umezidisha maswali na mijadala mitandaoni

Matukio yote mawili yametokea kimataifa na yote ni matukio hasi.. Wengine wameenda mbali na kusema utekaji na biashara ya mihadharati ni lila na fila.
Ziada ya hayo kuna ile kesi ya TAL.. Nayo ni aibu tupu mpaka imefikia UN imetoa tamko zito kwamba TAL mwenyekiti wa CHADEMA aachiwe huru bila masharti na alipwe fidia! Je unadhani bado mambo ni shwari?

La mwisho! Makaburi yaliyozika miili takribani 20 iliyoharibika iliyofungwa kwenye viroba vyeusi

Ardhi imelemewa na sasa inatapika.. Ulimwengu wa roho unajaribu kutuonesha ishara na kujaribu kuwapa tahadhari kwamba sasa enough is enough! wasiendelee tena! View attachment 3549232
Ramli
 
downloadfile.jpg
 
Not propaganda nakupa siku 90 kuanzia tangazo la covid 19 litoke utaniambia kitakacho tokea...!

Nikukumbushe tu pengine umesahau ni covid 19 iliyo pita na Dk. Kijazi...

Hiyo hiyo ndio ilipita na mzee Magufuli...

Ebu tuone hii ya sasa Itapita na kina nani na nani...!

Ni mwendo wa mnyukano ukizubaa UMEUAWA​
Kwa hiyo ukiwa na mafua tu ni covid 19?
So this time unaanzia Tz halafu utasambaa dunia nzima?
 
Unadhani wanajali? Ilimradi wanaamka wanakunya wanakula wanajamba Kwao mwisho hiyo hawajui kingine chochote
 
Tukae mwendo wa kutulia wadau. Soga boy anatupambania kwa madili ya kimafia zaidi.
Si mnaelewa wahisani walishazingua na vijisenti vyao?
So by any means lazima tusonge wadau. Tulianzia Kongo kuteka madini tumefeli, tumejaribu na dili la mapouder limebauzi. Yaani mwaka wa shetani ni washetani tu wadau.
 
Tukae mwendo wa kutulia wadau. Soga boy anatupambania kwa madili ya kimafia zaidi.
Si mnaelewa wahisani walishazingua na vijisenti vyao?
So by any means lazima tusonge wadau. Tulianzia Kongo kuteka madini tumefeli, tumejaribu na dili la mapouder limebauzi. Yaani mwaka wa shetani ni washetani tu wadau.
Kwamba hadi sisi Watumishi wa Mungu tutulie tu tusubiri hela za Mapouda. Mkuu tutake radhi aisee. Ai kanti brithi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sidhani kama washauri wao wa kiroho wanawaambia ukweli mambo yanazidi kuharibika na kila uchwao ni afadhali ya jana na ya kwamba hii haina comeback!

All we can say in very very painful feelings it will never be the same again!

Hizi dalili mbili zingetosha/zinatoshq kabisa kuwagutua toka usingizi mzito kwamba hamkani si shwari tena! No longer at ease!
1.
Jaribio la utekaji lililoshindikana nchi jirani na watekaji kujulikana! Hili jambo limezivua nguo
mamlaka na si jepesi kama inavyochukuliwa!

2. Kukamatwa kwa meli yenye bendera na usajili wa Tanzania iliyokuwa imebeba shehena ya maana ya madawa ya kulevya

Kwenye tukio la utekaji wameshindwa kabisa kujitokeza na kusema neno! Lakini kwenye tukio la meli msemaji kajaribu kulitolea ufafanuzi ambao hata hivyo umezidisha maswali na mijadala mitandaoni

Matukio yote mawili yametokea kimataifa na yote ni matukio hasi.. Wengine wameenda mbali na kusema utekaji na biashara ya mihadharati ni lila na fila.
Ziada ya hayo kuna ile kesi ya TAL.. Nayo ni aibu tupu mpaka imefikia UN imetoa tamko zito kwamba TAL mwenyekiti wa CHADEMA aachiwe huru bila masharti na alipwe fidia! Je unadhani bado mambo ni shwari?

La mwisho! Makaburi yaliyozika miili takribani 20 iliyoharibika iliyofungwa kwenye viroba vyeusi

Ardhi imelemewa na sasa inatapika.. Ulimwengu wa roho unajaribu kutuonesha ishara na kujaribu kuwapa tahadhari kwamba sasa enough is enough! wasiendelee tena! View attachment 3549232
Damu isiyo na hatia huwa iandai. Tusijidanganye damu hata kama umeua mtu mmoja na ukaficha, no way ipo siku utaropoka tuu. Jaribu kufuatilia hata historia, hata kwenye jamii zetu. Yaani afadhali hata dhambi ya kuiba, lakini siyo kumwaga damu. Huwa natafakari sijui kuna siri gani katika damu na laiti viongozi tungejua hili. Nimeapa maisha yangu sitaimwaga damu isiyo na hatia bora nibaki na umaskini wangu kuliko damu isiyo na hatia
 
Utekaji ni sera ya taifa katika kuliponya Taifa letu.
Biashara ya ngada/unga ni mbadala wa kukosa pesa baada ya vikwazo vya mataifa mbalimbali.
Mama anatosha tukutane 2030.
 
Damu isiyo na hatia huwa iandai. Tusijidanganye damu hata kama umeua mtu mmoja na ukaficha, no way ipo siku utaropoka tuu. Jaribu kufuatilia hata historia, hata kwenye jamii zetu. Yaani afadhali hata dhambi ya kuiba, lakini siyo kumwaga damu. Huwa natafakari sijui kuna siri gani katika damu na laiti viongozi tungejua hili. Nimeapa maisha yangu sitaimwaga damu isiyo na hatia bora nibaki na umaskini wangu kuliko damu isiyo na hatia
 
Huwa natafakari sijui kuna siri gani katika damu na laiti viongozi tungejua hili. Nimeapa maisha yangu sitaimwaga damu isiyo na hatia bora nibaki na umaskini wangu kuliko damu isiyo na hatia
 
Marehemu awa shahidi😀🙌🏿🏃🏿
1772274343113.jpg
 
Damu isiyo na hatia huwa iandai. Tusijidanganye damu hata kama umeua mtu mmoja na ukaficha, no way ipo siku utaropoka tuu. Jaribu kufuatilia hata historia, hata kwenye jamii zetu. Yaani afadhali hata dhambi ya kuiba, lakini siyo kumwaga damu. Huwa natafakari sijui kuna siri gani katika damu na laiti viongozi tungejua hili. Nimeapa maisha yangu sitaimwaga damu isiyo na hatia bora nibaki na umaskini wangu kuliko damu isiyo na hatia
MAREHEMU KUWA SHAHIDI KESI YA LISSU?

Baada ya kuona mitandao habari, hii ikabidi pia nami nijiridhishe kwa kutembelea ukurasa wa Facebook wa Mkamiti Mohamedi! Ameandika maneno haya katika ukurasa wake:

"Huyu ndie Amin Said Mahamba ni marehemu mume wangu amefariki mwaka 2021 akiwa [ni] SACP sio ACP kama inavyotajwa kwenye kesi ya Tundu Lissu. Huyo wanayemtaja huko sijui ni yupi, mume wangu amefariki na cheti cha kifo kipo nimechoka kupigiwa simu kuulizwa. Kama Jamhuri inatumia jina la mume wangu nitawashitaki kabisa wala sitokaa kimya maumivu ninayoyapata Mungu ndiye anayejua. Naomba muacheni mume wangu apumzike kwa amani miaka aliyotumikia Jeshi la Polisi inatosha"!

Baada ya kusoma ujumbe huo nami nimeamua kujitia purukushani kuandika maneno haya:

1. Kwa mujibu wa Lissu, maelezo ya Mahamba yalisomwa wakati wa ukabidhi Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

2. Jamhuri inataka kuongeza maelezo mengine ambayo hayakusomwa wakati wa ukabidhi pale Kisutu ili kuingiza masuala ya vurugu za tarehe 29 - 31 Oktoba 2025 wakati wa Uchaguzi Mkuu.

3. Kuna mahali nilisoma kuwa Jamhuri ilisema kuwa huyo Mahamba ni mpelelezi aliyekuwa akipeleleza matukio ya kabla, wakati na baada ya tarehe 29 Oktoba 2025. Jambo ambalo pia limetafsiriwa na Lissu kuwa inataka kumtupia zigo la 'virugu na mauaji ya 29 Oktoba 2025'!

4. Mtu aliyetambulisha kama alikuwa mke wa Mahamba amejitokeza na kusema mume wake alifariki dunia. Hii inaleta tafsiri kuwa Jamhuri inatumia marehemu kama mashahidi dhidi ya Tundu Lissu.

5. Baadhi ya watu wanahoji pengine hiyo ndiyo sababu Jamhuri iliomba kuwaficha mashahidi wake.

6. Sasa huyo mama kuchoma kichaka kilificha chatu, chui na nyegere.

Mengine tunamuachia Lissu. Maana kitendo cha kukata rufaa katika Mahakama ya Rufaa kuomba 'marehemu' atoe ushahidi kutakuwa kimeongeza changamoto mpya katika kesi za jinai katika mahakama zetu.

Nahitimisha kwa kuuliza maswali machache: Je, ulikuwa unamfahamu huyo Mahamba? Je, ni kweli alifariki? Alifariki lini na alizikwa wapi?
Je, ni mtu wa wapi? Je, ulihudhuria maziko ya Mahamba? Je, alifariki kwa ugonjwa au ajali? Je, alifia hospitali gani? Je, unamfahamu huyo aliyejitaja kama mke wake? Je, unawafahamu ndugu wengine au watoto wa Mahamba?

Kama kweli Mahamba ni marehemu, inajenga taswira gani kuhusu mashahidi wote wa kificho walioletwa napua watakaoletwa katika kesi ya Lissu? Je, hii inajenga taswira gani kwa Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka (DPP) kuhusu uwezo wake na uwezo wa watumishi wa Ofisi yake yote? Je, hii inajenga taswira gani pia kwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) na Idara yake yote?

Je, ni kweli Mahamba yuko hai lakini familia yake ilifichichwa na kupewa 'cheti feki' ya kuwa amefariki na wakazika 'kanyaboha' lakini yeye Mahamba anaendelea kuitumikia hii 'jamhuri'?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 28 Februari 2026; Saa 5:40 asubuhi.
1772275510717.jpg
 
Back
Top Bottom