Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Kwanza ungefatilia maoni ya watanzania kuhusu hizo nyumba wengi wameumiaNdio upotoshaji tusioutaka huu nyumba ya Kikwete na Marais wengine wastaafu ni kwa mujibu wa katiba ya JMT. Hayo ni mambo ya serikali sio chama cha CCM.
Katiba ndio msingi/chanzo cha sheria zote mkuu.Sio kwa muujibu wa katiba babu . ni sheria Fulani ilitungwa mwaka 1999 kama sikosei kama sheria zingine nyingi za ovyo.
Polepole ni jinga. Zezeta fulani hohehahe kisiasa. CCM haijawahi kununua maV8 mwaka huu. Hayo maV8 ni mali ya umma na yana registration ya Serikali. Yamepigwa rangi ya kijani na kubandika plate numbers za CCM. Huu ni ujambazi mwingine wa CCM.Hii clip imenifikirisha kweli maana sijajua kama ni kuwakejeli Watanzania kua wanaishi kifahari kuliko wao?
Ulimbukeni wa H. P baada ya kupata hela na madaraka ?
Au Wa Tz ni makimbikeni kiasi hata hawajui LC V8 ni nini.
Huu ubabe na kujimwambafy utafika kikomo.
Haka kajamaa kamekuwa ka hovyo kabisa.Hii clip imenifikirisha kweli maana sijajua kama ni kuwakejeli Watanzania kua wanaishi kifahari kuliko wao?
Ulimbukeni wa H. P baada ya kupata hela na madaraka ?
Au Wa Tz ni makimbikeni kiasi hata hawajui LC V8 ni nini.
Huu ubabe na kujimwambafy utafika kikomo.
Siku hizi malofa na wapumbavu unajifanya kuwasahau siyo?Huyu ni mshamba, ni limbukeni na ni lofa
Halafu hao hao wanakusanya watu kwenye malori kwenda kuongeza vichwa huku wakivuja jasho kuwashangilia akina Polepole walio ndani ya ma V8 yenye viyoyozi. Na bado wakipewa mitano 5 tena wana upgrade kwenda kwenye latest version.Makatibu kata na mashina CCM hawana hata bodaboda
Chama kimejaa watu wajinga sanaHalafu hao hao wanakusanya watu kwenye malori kwenda kuongeza vichwa huku wakivuja jasho kuwashangilia akina Polepole walio ndani ya ma V8 yenye viyoyozi. Na bado wakipewa mitano 5 tena wana upgrade kwenda kwenye latest version.
Hii ni CCM mpya ya akina Polepole na Bashiru. Hiyo CCM ya zamani ya kina Mangula, Kinana, Mzee Makamba ndo hiyo inaulizwa "unaijua V8 wewe??" Hao pamoja na wavuja jasho wa huko Nanyamba waijulie wapi V8.Huyu Bwana Polepole hata Mimi kanishangaza. Yani ameamua kuwavimbia wapiga kura badala ya kuwaomba Kura. Hizi ni dharau na jeuri ya madaraka.
Anadhani haya ma V8 CCM yameanza kutumika leo? Mbona wakina Nape walikuwa wanayatumia bila kudhihaki Wapigakura wanaoshindia Mizizi (mihogo/viazi) na Matunda?? Kweli hawa jamaa wa Utawala uliofitinika wana kaushamba flan.
Namna ya kuwaenzi na kuwatunza yamewekwa kisheriaKumtunza na kumuenzi mtu aliyetumikia Taifa kwa miaka 10 katika kazi ngumu kama ya urais wewe unaona si jambo la msingi? Ulitaka taka wa enziwe vipi?
Mkuu ungana nasi kuomba siku saba kuanzia leo.Hatuogopi uyu mbuzi ..tuwafundishe adabu 28
View attachment 1606791
Clip gani unaitaka?
Si heri hata hao?
Mwenyekiti wa Taifa kajenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake.