Pale omba omba anapodai nauli kuridi kwa huku ana smartphone mkononi!

Ghosryder

JF-Expert Member
Jul 6, 2014
10,401
4,370
Nimeshangaa sana! Ombaomba wa kike anahojiwa na CH ten, anatangaza mgomo wa. Kurudi kwao kwa madai kuna njaa na kumtaka eti Magufuli awaletee usafiri na chakula huko kwao, Wakati akihojiwa mkononi ameshika smartphone! Hawa ni ombaomba kweli au wahuni?
 
Mkuu kwani hujui omba omba kidijitali siku hizi ? Hujawahi ombewa pesa Facebook ?
Nimeshangaa sana! Ombaomba wa kike anahojiwa na CH ten, anatangaza mgomo wa. Kurudi kwao kwa madai kuna njaa na kumtaka eti Magufuli awaletee usafiri na chakula huko kwao, Wakati akihojiwa mkononi ameshika smartphone! Hawa ni ombaomba kweli au wahuni?
 
Ila ikifika kipindi cha kampeini mnajifanya kuwathamini kwa unafiki mnapeleka mahindi ili waone mnawapenda baadaye mnajifanya hamuwaoni hadi wanakula viwavi
 
Ila ikifika kipindi cha kampeini mnajifanya kuwathamini kwa unafiki mnapeleka mahindi ili waone mnawapenda baadaye mnajifanya hamuwaoni hadi wanakula viwavi

Nani, huyo dada mwanye kuajiri watoto 20 wanaomkusanyia pesa na anamiliki smartphone ndio anakula viwavi?! we hujijui.
 
Wewe una ka elf20 kako mwenzio ana laki2 anakuomba nawe unajifanya mtu wa Mungu unampa ili upate rehema. Sasa ujue hata Mungu hakuangalii kwa kuwa huna akili hata kidogo...
 
Nimeshangaa sana! Ombaomba wa kike anahojiwa na CH ten, anatangaza mgomo wa. Kurudi kwao kwa madai kuna njaa na kumtaka eti Magufuli awaletee usafiri na chakula huko kwao, Wakati akihojiwa mkononi ameshika smartphone! Hawa ni ombaomba kweli au wahuni?
Mamiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom