Nimeshangaa sana eti msafara wa makamu unakimbia 80kph pale korogwe kwenda mombo...ile terrain is extremely dangerous hata ukiwa unaenda 60kph hivi hawa viongozi wetu hofu ya nini mpaka kukimbia kiasi hicho?
Nimeshangaa sana eti msafara wa makamu unakimbia 80kph pale korogwe kwenda mombo...ile terrain is extremely dangerous hata ukiwa unaenda 60kph hivi hawa viongozi wetu hofu ya nini mpaka kukimbia kiasi hicho?
kayagila. sifahamu uzoefu wako ktk uendeshaji magari ktk barabara kuu lkn mwendo huo unaosema ni speed ndogo ktk ile barabara.unapunguza mwendo unapokuwa unapita maeneo ya vijiji,vivuko vya reli na kona kali.
kayagila. sifahamu uzoefu wako ktk uendeshaji magari ktk barabara kuu lkn mwendo huo unaosema ni speed ndogo ktk ile barabara.unapunguza mwendo unapokuwa unapita maeneo ya vijiji,vivuko vya reli na kona kali.